Sasa mtu asiyekujua, hamjawahi kuongea hata mara moja, anaongea ama kuzusha maneno mtandaoni unaumia? Kwa sababu gani? Mie nkifikiri anayeku bully awe anadetails zako, anakufahamu au ulimingle nae sehemu, japo ndio uumie, vinginevyo unamuweka kwenye trash can tu.
Anayefanya hivyo kweli ana mapungufu sana. Huwa naangalia mara nyingi hata mada zingine mtu ukisoma unaona kabisa hii inamlenga mtu, Ili iweje? Hao wanaofanya hivyo ndio wanajua sababu za kufanya hivyo, lakini ni kukosa busara tu. Ukiamua kujilipua Na mtu, uwe mtandaoni au mtaani ujiandae kwa matokeo hasi au chanya.
Wengi tunajitakia tu, kuna mengi tunafanya kwa makosa. Lakini wanaofanta hivyo nao wana walakini...!