Kurt godel
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 317
- 174
- Thread starter
-
- #41
Vpn napataje APA bongo au ndo nitumie hotspot shield kwa muda
Kama unatumia simu wewe download orbot ina option ya kutumia bridges au vpn.The best ni combination ya zote.Kama unatumia pc download tor.extr
Nimekutana na wanachuo wa dit Leo wameisifia sana Ila I didn't buy the shit.kila kitu kina weakness.Embu ngoja nitafute mudaa nizame training ya JavaScript,html5,php.Then tuichezee hii forum tuone inner workings zake
Duuuh, mkuu usimkatishe tamaa ataogopa na akimbie mazima hii field ya programming kweli inahitaji effort sana bila kuchoka.Hehe unaonyesha wazi kua hujui unachokiongea, do you actually think utaenda kujifunza JavaScript na Php siku mbili tatu urudi hapa kujaribu stupid hacks? Keep on dreaming. Kusoma a programming language takes years to reach a level ambayo unaweza jiita expert, na bado kujaribu kupata security vulnerabilities you'll have to try even harder, utaanza kujifunza database, hawa wanatumia MySQL, na yenyewe usidhani you can just go in and attack, jamaa hawana loophole kwenye mysql attacks hata kidogo, hizo attacks zinawapata beginners tu siku hizi. Utahitaji pia kujifunza information security, hapo Algorithms lazima ukaze buti na upitie linear algebra na calculus kidogo, ujifunze networking, operating system, miaka kama minne hivi au zaidi kabla ya kuanza kufanya anything significant.
These guys wanapata so many attacks per day zaidi ya unavyofikiri, na they are still surviving. Ndiyo kwanza unataka uanze kujifunza programming, hehe you won't catch up, tafuta hobby nyingine ya kufanya. Labda ujifunze kwa kua tu unataka kujua
Duuuh, mkuu usimkatishe tamaa ataogopa na akimbie mazima hii field ya programming kweli inahitaji effort sana bila kuchoka.
Na kwenye hacking huko ndiyo hatari tupu kama hupendi kusoma 365/24/7 (KUJIFUNZA + PRACTICE) huwezi hii kitu na hata usijaribu.
Sasa wabongo wengi ukimwambia kusoma ni kama vile unamwambia nataka nikuue.
Lakini hawa newbie huwa wana dream vingi na kufikiri one night stand vitu vitakuwa vimenyoka kumbe..heheee
Hakuna shortcut kwenye haya mambo lazima ukae chini na kujifunza sana kama mvivu achana nayo hayakufai.
Hahahaa, ma scriptie kiddie huwa wanachekesha sana ndugu.Kama yuko tayari kukata tamaa ni bora nimemsaidia mapema maana hii field haitaki watu wanaokata tamaa ovyo. Ni field ngumu inahitaji sana persistence na mtu anayeifanya kwa kua kaipenda sio kwa kua anataka kumkomoa flani. Ni bora nimempa ukweli kuliko akae anajidanganya ataanza kesho kesho akifikiri game ni rahisi. Watu wanaangalia Mr.Robot wanadhani kesho yake tu wanaweza angusha data centre ya Google. Hehehe what a joke.
Hakuna kitu cha mikono ya wanadamu ambacho ni 100% unaltered. Mbona CIA walifungua iphone ya mteja wanaemuhisi ni gaidi na kuchukua info baada ya apple kugoma kufungua simu husika?Watch Out! First-Ever Word Macro Malware for Apple Mac OS Discovered in the Wild
Kwa miaka mingi sana hapa bongo kumekuwa Na myth kuwa iPhone Na Apple products ni 100% secured. I think soon the myth will come to an end
Hehe unaonyesha wazi kua hujui unachokiongea, do you actually think utaenda kujifunza JavaScript na Php siku mbili tatu urudi hapa kujaribu stupid hacks? Keep on dreaming. Kusoma a programming language takes years to reach a level ambayo unaweza jiita expert, na bado kujaribu kupata security vulnerabilities you'll have to try even harder, utaanza kujifunza database, hawa wanatumia MySQL, na yenyewe usidhani you can just go in and attack, jamaa hawana loophole kwenye mysql attacks hata kidogo, hizo attacks zinawapata beginners tu siku hizi. Utahitaji pia kujifunza information security, hapo Algorithms lazima ukaze buti na upitie linear algebra na calculus kidogo, ujifunze networking, operating system, miaka kama minne hivi au zaidi kabla ya kuanza kufanya anything significant.
These guys wanapata so many attacks per day zaidi ya unavyofikiri, na they are still surviving. Ndiyo kwanza unataka uanze kujifunza programming, hehe you won't catch up, tafuta hobby nyingine ya kufanya. Labda ujifunze kwa kua tu unataka kujua
Kama yuko tayari kukata tamaa ni bora nimemsaidia mapema maana hii field haitaki watu wanaokata tamaa ovyo. Ni field ngumu inahitaji sana persistence na mtu anayeifanya kwa kua kaipenda sio kwa kua anataka kumkomoa flani. Ni bora nimempa ukweli kuliko akae anajidanganya ataanza kesho kesho akifikiri game ni rahisi. Watu wanaangalia Mr.Robot wanadhani kesho yake tu wanaweza angusha data centre ya Google. Hehehe what a joke.
Duuuh, mkuu usimkatishe tamaa ataogopa na akimbie mazima hii field ya programming kweli inahitaji effort sana bila kuchoka.
Na kwenye hacking huko ndiyo hatari tupu kama hupendi kusoma 365/24/7 (KUJIFUNZA + PRACTICE) huwezi hii kitu na hata usijaribu.
Sasa wabongo wengi ukimwambia kusoma ni kama vile unamwambia nataka nikuue.
Lakini hawa newbie huwa wana dream vingi na kufikiri one night stand vitu vitakuwa vimenyoka kumbe..heheee
Nani kwaambia kuwa Mimi naanza kujifunza ?
Hakuna shortcut kwenye haya mambo lazima ukae chini na kujifunza sana kama mvivu achana nayo hayakufai.
“Computer science education cannot make anybody an expert programmer any more than studying brushes and pigment can make somebody an expert painter.”
Wakuu ninawezaje kuua au kuremove OZIP SEARCH virus kwani laptop yangu imekuwa infected na huyu mdudu/hacker,yaani nashindwa kabisa kutumia google kama search engine!!.......Natumia window 10,msaada please!