Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 42,436
- 50,163
Hivi wamiliki hawakukubali wanafunz kulipa 200/-?Na je hawajui kuwa wanafunz wananyanyaswa na makondakta?
Labda wamekubali ombi la DC kwakuwa jina lake linafanana na jina la kazi yao😀 (Joke)
Ni kweli wanafunzi wananyanyasika sana, mimi nadhani kwakuwa huyu DC ameanza kwa kuwasaidia walimu, basi wadau wengine nao watazame namna ya kuwasaidia wanafunzi, kwa mfano kama shirika la UDA lingekuwa kama enzi za miaka ya 70 - 80s, ndilo lingekuwa mkombozi kwa watoto wa shule, labda serikali hii ianzie hapo kama itarejesha UDA