CV ya William Lukuvi

Status
Not open for further replies.
kasomea magogoni fani ya ukuwadi, mabwepande-ulimbokaji, ujingaujinga, kuchakachua na kufitinisha...Believe me, he was one of the best kwenye somo la ujingaujinga...
 
Zaidi ya hapo tunamjua kama mzee wa KANUNI YA 64.
 
ni matumaini yangu hamjambo...lengo la thread hii ni kutaka kujua uhalali wa lukuvi kujibu hoja iliyokuwa inaelekezwa kwenye wizara ya elimu na kusimama na kujibu kuwa mitaala ataletwa kabla ya mwisho wa kikao wakati waziri mwenye dhamana hyo yupo bungeni na ndiye aliye ahidi.
 
Lukuvi anaitwa mzee wa kanuni ya 64, ndio kazi inayomuweka hapo bungeni. Asipofanya hivyo, bosi wake atamfuta kazi. Ni muendelezo ule ule wa sinema mtambuka aka vikao vya bunge!
 
Lukuvi anaitwa mzee wa kanuni ya 64, ndio kazi inayomuweka hapo bungeni. Asipofanya hivyo, bosi wake atamfuta kazi. Ni muendelezo ule ule wa sinema mtambuka aka vikao vya bunge!

ofcoz nilikuwa sijamfaham vyema lukuv lakni baada ya hoja hyo nimdhalau mno
 
Waziri wa nchi ofisi ya rais!

 
hivi unajua maana ya waziri wa nchi ofisi ya rais?
 
Anajitahidi kujilinganisha na lisu lakini wapi wewe! Anachemka vibaya mno
 

Hili nalo swali. Mkuu hujui kama Lukuvi ni chief whip? Lbda uulize kazi cha Chief Whip
 
Lukuvi ni msaidizi wa waziri mkuu bungeni,hivyo basi, yeye, waziri mkuu, na mwanasheria mkuu wa serikali wanaruhusiwa kurukia hoja yoyote ile bungeni as long as wanaibeba serikali. kwahiyo hapa sio pa kumdharau Lukuvi ila pa kumpongeza kwa kutimiza majukumu yake vema japo hoja ya msingi wajuaji wote wanaipinga serikali kwa kuendesha wizara nyeti ya elimu kisanii
 
UMEFANYA VIZURI KUULIZA KWA SABABU ULIKUWA HUJUI..
kisheria LUKUVI anaruhusiwa kujibu hoja ya wizara yeyote ile as llong there is need kufanya hivyo,tafuta manual ya majukumu ya wizara yake akiwa waziri wa nch ofisi ya rais utaelewa...ndio maana hata waziri mkuu akiondoka Lukuvi hukaim..na kwa nyongeza tu wazri mkuu anaweza jibia swali lolote lile bungeni
 
Mpululu acha kudanganya watu, lukuvi hana hadhi ya kukaimu uwaziri mkuu, mtu ambae hajui hata kiingereza awe kaimu pm. Kwa hiyo sema ni kazi yake kujibu maswali ya aina hiyo. Lakini kwa uwezo kiukweli hana. Hajawahi na hata hujui kusoma mikabata ilioandikwa kiingereza. Nitarudi
 
Lukuvi anamwogopa lema,angekuwa ndo mtoa hoja ni lema lukuvi asingeongea chochote
 
Unasema kwamba hata waziri mkuu akiondoka lukuvi anakaimu,,, je, kwa hoja iliyokuwa inajadiliwa alikuwa na ulazima wa kuijibu wakati waziri husika alikuwepo bungeni??? Na swali hilo lilikuwa na ugumu gani hadi lijibiwe na lukuvi???
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ