Umeweka hizo CV sasa umefaidika nini,tatizo nyie Chadema mnakunywa viroba sana ndiyo maana akili yenu haijatulia.Lukuvi ni kichwa na ni msema ukweli hapeni unafiki kama Mbowe na Lissu.
Wivu tu unamsumbua mtoa mada, aliyekwambia kuwa na madegree ndio tiketi ya uwaziri nani? Au kuna chuo cha uwaziri na ubunge siku hizi ndugu.
Andika vizuri mkuu, unaandika ki fesi boku?
HAKUNA CHUO KINACHOTAMBULIKA CHA WASHINGTON INTERNATIONAL UNIVERSITY kwa hiyo watu wote wanaojigamba na shahada za huko ni vihiyo. Ona hapa:Wenye CV kama hizi ni hatari sana kwa taifa linalotakiwa libadilike kuendana na mabadiliko ulimwenguni!