CV ya Pascal Mayalla

Ha ha haaa, we jamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia ameshawahi kuwa MC miaka ile ya mwanzo ya miss Tanzania. Kilichomkuta anakijua mwenyewe. Kila alipokuwa akijaribu bahati yake kumfariji miss mrembo aliyeshindwa kuwa mshindi au alipojaribu kumtafuta yule aliyeshinda ili ampongeze, aliambulia patupu baada ya kuambiwa kuna kijana mmoja mtaratibu sana ameshatoa pongezi/ameshafariji.( huyo kijana kwa bahati mbaya ametutoka siku chache zilizopita)

Pascal Mayalla amejaliwa vipaji vingi sana.Ipo siku tu nitamuibukia kwenye vile vipindi vyake vya saba saba.
 

Hahahhaha. Daah!!
 
Pascal naona amekengeuka sana siku hizi, amebaki kusifia CCM kwa umakini na kuiponda Chadema kwa usiri wanaomsoma toka zamani wataungana na mimi
Ni kweli kabisa. Mayalla anaiponda CHADEMA kwa akili ya juu sana na kumbain mpaka usome na utafakari. Kuna siku aliibua hoja kua LISSU "mbona Lissu haeleweki ni aina gan ya silaha iliomshambulia..mara aseme A.K. A 47 mara aseme mashine gun".
Member mmoja anaemjua Mayalla akasema technically Mayalla ameondoa neno Sub-machine gun (SMG) na kuweka Machine gun ambayo ni mtambo mkubwa wa silaha. Lengo likiwa ni kumtoa Lissu kwenye right wing.

So Mayalla ni mtu anaesifia sana kijani na kuwaponda upinzani technically.
 
Hana fikra kubwa wala nini njaa tu inamsumbua ngoja akutane na teuzi uone atakavyobadirika kama kinyonga.... Njaa mbaya sana hufanya wasio na akili kuwa na akili na wasio werevu kuwa werevu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakenya kwa Ushamba nao!!
 
Tangu amuulize magu swali la kizushi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe Pascal Mayalla ndio muasisi wa neno "kitimoto".
 
Kila akijaribu bahati ya mkumfariji miss aliyeshindwa anasema alikuta manyoya tu, bwana fursa ya kufungulia watu dunia alishafanya yake
 
Wenyewe twawaita wananzengo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…