Ana degree ya sheria. Kabla ya hapo alikuwa na degree ya uandishi wa habariSo ana degree ya sheria au alikuwa tu classmate wako
Yes! Kwa mgongo wa Pascal MayallaBashite anajipigia promo
Hii nayo ni CV contentYes! Kwa mgongo wa Pascal Mayalla
Kwani kuishi us na uk ni cv. Kweli wajinga tz hawawezi kuishaMkuu ungeongeza pia Pascal ana exposure ya kuishi nje ya nchi kama 3 years both UK n' US. Nimejazia jazia nyama hio CV. Kiufupi jamaa ni nguli kwenye tasnia ya habari.
Zamani akijificha kwa jina la bandia la Pasco,lakini tulimjua ni yeye mzee mwanzilishi wa Kitimoto ITV ,ana kuwa na maswali magumu si ajabu kipindi chake kilitwa Kitimoto na kweli kilikuwa kitimotoJf tukitaka kusulubu mtu tunaomba cv!!
Haya,kiufupi Mayalla ni
Communication specialist wa hatari sana na ni bobezi katika habari haswa utangazaji
Ana degree ya sheria,amesomea uandishi Tsj
Amefanya kazi Rtd,Dtv,Ctn
Amesafiri sana na viongozi,anajua mengi ya nje na ndani
Kwa sasa ni mfanyabiashara katika mambo ya habari na matangazo akiwa na kampuni yake mwenyewe
Unasemaje mleta mada
Vipi zimekusaidia ktk upekuzi wako!?OK nimeshapata basics info zake.
Kuhusu historia yake kiafya , hasa afya ya akili naomba nikucheki PM au ngoja nishauriane na Mwanasheria wangu Kibatala , ili nione kama naweza kumwaga hapa moja kwa mojaNdg wana JF. Wasalamu.
Hivi karibuni nimejaribu kupitia michango/thread zilizoletwa na mtajwa hapo juu.
Kwa namna ya uandishi wake na mawazo yake imenilazimu kutaka kujua Pascal Mayala ni nani hasa? Kiwango chake cha elimu? professional yake ni nini?Historia yake ya kiafya ikoje (Hasa ya kiakili)?Na kama mtanzania au la! n.k
NB: Naamini hamna mtu anaweza kuwa na fikra kubwa kama huyu jamaa. Kitendo cha kuleta mada ya mkuu wetu wa mkoa kuwa Raisi wa JMT baada ya JPM binafsi nimeona ni suala zuri ila nani kaleta mawazo hayo ndo nataka kujua profile yake.
Anza nawewe uweke yako tuone upstairs ukoje na ww?Ndg wana JF. Wasalamu.
Hivi karibuni nimejaribu kupitia michango/thread zilizoletwa na mtajwa hapo juu.
Kwa namna ya uandishi wake na mawazo yake imenilazimu kutaka kujua Pascal Mayala ni nani hasa? Kiwango chake cha elimu? professional yake ni nini?Historia yake ya kiafya ikoje (Hasa ya kiakili)?Na kama mtanzania au la! n.k
NB: Naamini hamna mtu anaweza kuwa na fikra kubwa kama huyu jamaa. Kitendo cha kuleta mada ya mkuu wetu wa mkoa kuwa Raisi wa JMT baada ya JPM binafsi nimeona ni suala zuri ila nani kaleta mawazo hayo ndo nataka kujua profile yake.
Check avatar yake utamfahamu kwa sura mkuu.Thanks mkuu. Sikutaka kujua lama zinacharge au la! Hata ivo nashukuru kumfahamu najaribu kumcheck hata youtube nione sura yake lakini wapi. Good for him lakini aache undezi