CV ya Dr Slaa From Certificate to PhD

Status
Not open for further replies.
Hakuna haja ya kutokwa na povu hii thread ni mpya JF kuna members wapya wanaitaji mijadala kama wewe ulijadili siku nyingi kaa pembeni waachie members wapya hii ndio maana ya forums...halafu nikukumbushe acha kulia lia JF sio mali ya Chadema.


Riz@ nikusaidie kidogo kuelewa:
Chuo cha St. Urban University, Rome, ambacho huchukua wahitimu kutoka vyuo mbalimbali duniani, wanafunzi kutoka vyuo shiriki hasa Seminary huwa kama ifuatavyo:
Vyuo vingi nchini Tanzania kama Kipalapala Major Serinary, Peramiho Major Seminary, Segerea Major Seminary na sasa Morogoro Religious Major Seminary baadhi ya wanafunzi huchukua kozi za moja kwa moja na kufanyia mitihani ya St. Urban University, Rome na kupata shahada za awali, na waendapo huku ni kudeal na PHD tu.

St. Urban University, Rome mfumo wake wa elimu si kama Chuo cha kibongo mlimani au Dodoma Univ. Kule Rome mtu akianza kupiga mbizi kama hakatishi ataendelea hadi kieleweke kupata PHD, si kama bongo, wale jamaa wana mfumo wao.

Kwa taarifa tu kujiunga na chuo kile kuna qualifying test, hata kama una PHD za Marekani au wapi lazima upige hiyo qualifying test yao kupima uwezo wako. Pale haingii mtu kwa kuangalia sura au anatoka wapi ila bongo lifanye kazi. Ujue ni chuo pekee duniani kutoka mataifa yote na hivyo anayetia mguu pale ujue amechujwa vya kutosha.
 

Riz angejifunza kitu kutoka tu elimu ya shule za seminary ambako mwanafunzi mwenye ufaulu wa chini ya daraja la tatu haruhusiwi kuendelea na kuwepo sekondari za seminary. Wahitimu wenye daraja la kwanza na la pili tu ndio wenye kuruhusiwa kuendelea na masomo ya juu na kipimo hicho si elimu ya biblia bali elimu dunia. Kule si kusoma biblia tu, elimu dunia kwanza ufaulu kwa kiwango hicho ndipo uendelee.
 
A medieval doctorarte, kwa sasa hivi haina maana sana (actually "yoyote"). Unaweza kupata shahada hizi online kwa kusoma biblia na kujibu maswali, baada ya mwaka una Bachelors ya divinity from some church!!, it's bull.
 
Ritz jitahidi kwenda na wakati mwanangu. Watu wanahangaika na mambo mazito wewe unakuja na vitu vya kujitungia. Nini kisichowezekana iwapo jamaa unaambiwa ana certificates nne toka kwenye vyuo vikuu ukiachia mbali advanced diploma toka chuoni. Ni simple wanaotoa PhD wanaweza kufanya cumulative assessment na kuona ni bora mhusika asomee PhD. Nadhani ingekuwa hoja ni kuwa hakuisomea kidogo ingekuwa na mashiko. Mbona Kikwete anayo ya heshima na anaitumia wakati hajui hata dissertation inaandikwaje? Hata kama unamchukia jamaa kidogo kubali kuwa vyeti vyake ni vizito.
 
A medieval doctorarte, kwa sasa hivi haina maana sana (actually "yoyote"). Unaweza kupata shahada hizi online kwa kusoma biblia na kujibu maswali, baada ya mwaka una Bachelors ya divinity from some church!!, it's bull.

Ulishawahi kuona chuo kama St. Urban University, Rome hutoa degree za heshima?
 
pro chadema walikuwa wakiikejeli cv ya Vicky kamata.. nkawaambia mbona ya mzee slaa ni kama hivo tu.. wakanambia njiwa wewe mdini.

Ritz shukran kwa kufukua hii kitu..
 
Nilikuwa sitaki kuamini kwamba kuna watu wanalipwa Jf lakini kwa hili Ritz umenifumbua macho,thread imekaa kimipasho sana hii mkuu,yaani baada ya watu kufumua cv ya Vicky isiyokuwa na kichwa wala miguu kwa akili yako ndogo umeileta hii while this has been extensively discussed in here,you should feel shame of yourself ritz.fedha kweli mwanaharamu
 
Reactions: FJM
Nyie wasomi wa wapi? Kama mtu ka skip ni kichwaaa! Mark Mwandosya from BSc eng mpaka PhD! Mnadiscuss vise versa!

Daniel Mkude, from BA (Dar) to PhD (London), Mugyabuso Mulokozi BA(Dar), PhD (Dar)..... Hii ni ya Kawaida kabisa..Hawa ni Maprofesa waliobobea katika fani zao pale Mlimani!
 
Hakuna haja ya kutokwa na povu hii thread ni mpya JF kuna members wapya wanaitaji mijadala kama wewe ulijadili siku nyingi kaa pembeni waachie members wapya hii ndio maana ya forums...halafu nikukumbushe acha kulia lia JF sio mali ya Chadema.

Tafuta CV za Professor Amos E. Majule ambaye ni Mkurugenzi wa IRA-(UDSM) na Professor Daniel Mkude, (UDSM) uone kama Ph.D zao zina Masters.
Kama hujui mambo yanayohusu elimu usikurupuke, utaumbuka dogo!
Kwa kukusaidia tu, link ya CV zao iko hapa

 

Kuna chuo kilikuwa chini ya shirika la White Fathers (Missionaries of Africa) pale Kahangala, Magu - Mwanza - kilikuwa kinachukua wanafunzi kutoka Tanzania, Uganda, Kenya, Zambia na Malawi kwa masomo ya falsafa. Chuo hiki kilikuwa sawa na chuo kingine Uganda (Jinja Philosophical College) maana wanafunzi wengine walipelekwa Jinja au walikuja Kahangala.

1. Ili kujiunga kwanza upate Division I au II Form IV na VI (Kwa wale waliochukua Arts subjects Division I au II na wale waliochukua science subjects walau Division III).

2. Philosophy ilikuwa miaka 3 (entry qualifications za chuo kikuu) na masomo yote yalikuwa marked under 80 na siyo 100%. Mfano, ukipata 60 (ilikuwa distinction) yaani ni 60/80 kwa wale waliosoma Kahangala. Wale walioenda Jinja walikuwa wanakuwa marked kwa mfumo wa 100%. Kahangala waliokuwa wana mfumo wa y/80 na siyo y/100 pass mark yao ilikuwa 40/80. Kwa wale waliokuwa wanatumia mfumo wa 100% pass mark ilikuwa 50%.


3. Waliomaliza Kahangala walipata diploma ya falsafa. Waliomaliza Jinja walikuwa wanapata BA katika falsafa.


4. Wanafunzi kutoka Kahangala au Jinja walikuwa wanapelekwa kwenye nyuo vingine (kama hatua ya 2). Wale waliochukua masomo ya Kifaransa walipelekwa Fribourg (Uswisi) na waliochukua Kiingereza walipelekwa Kasama, Zambia.


5. Hatua ya 3 - wale wa masomo ya Kifaransa walipelekwa Tolouse, Ufaransa kwa teolojia. Na wale waliochukua Kiingereza walipelekwa Missionary Institute London (MIL). MIL alikuwa affiliated kwa Middlesex University (London) na Louven University (Belgium) na wale wa Tolouse, Louven University.

6. Kule wote walikuwa regarded kama level moja maana walikuwa wame'cover' silabasi moja ingawa wa Kahangala (kutokana na mfumo wa Tanzania wakati ule maaskofu hawakuwa wameridhia mfumo uliokuwa unatumika - ilichukua muda). Uganda mfumo wao ulikuwa tofauti kwani vyuo vyote vilikuwa affiliated kwa Makerere University.

Kwa hiyo, baada ya kumaliza Form VI, ili ujiunge na vyuo vya falsafa au teolojia lazima uwe na entry qualifications za chuo kiukuu na whether chuo fulani kwa sababu zao au utaratibu wao walitoa certificate/diploma/degree, vyote hivi vilikuwa level moja maana silabasi ilikuwa ileile na walimu walikuwa pia wenye qualifications zinazofanana. Baada ya hapo chuo kilichofuata ndicho kilikuwa na jukumu la kuthaminisha mwanafunzi fulani anatoka chuo gani na walikuwa wanapata nini whether certificate/diploma/degree na kwa vile kilicho matter ni pass mark maana kama mtu hajafikia wastani unaotakiwa haruhusiwi kuendelea basi chuo husika kiliamua mwanafunzi apate nini.
 
Shida ya vijana wa sasa kama Ritz hawatumii Akili kabisa kuangaza mifumo ya elimu nje ya nchi .
Nani kasema mfumo wa masomo unaanza primary, secondary, high school,bsc,master,phd
Kuuna nchi nyingi ni diploma , masters,phd. Nchi nyingine, ni diploma the masters na phd zimechanganywa
Jaribu kufanya uchunguzi msikurupuke tu.
 
Haya maneno ni yako CV ya Slaa sio ya kwanza mie kuileta acha watu wajadili kuna members wapya wanaitaji kujua sio wote wana miaka mingi humu JF.
FYI we Dhaifu, DR Slaa siyo mbunge
 

ritz endelea kujaza post na wana jf kwa ujumla mpeni sapoti ritz kujaza post iliuendele kujaza post weka cv ya dhaifu na boss wako nape mwisho ukikosa ya kuweka weka yako na ya baba yako mama yako mke wako kama una mke kama una mume weka ya mume wako kila siku una weka cv za watu acha njaa mwanaume anatakiwa kusifiwa kazi cyo umbea majungu MANAMBA WEWE
 
CV ya dr wa ukweli slaa imetulia sio kama ya dhaifu za kupewa kama pipi
 
RITZ:WIVU TU UNAKUSUMBUA huwezi kumfananisha dr slaa na dhaifu hata cku moja ***** wewe
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…