Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 33,654
- 40,246
Watu wengi hamuelewi mfumo wa kanisa katoliki, ni hv padri anakaa darasani kwa miaka 7 ambapo ndani yake hautasikia degree wala masters. Ambapo kwa hali ya kawaida kwa muda huo mtu ambae yupo kwenye university nyngne anaweza kuwa amemaliza masters.. Na mchangunuo wake upo hivi, baada ya kumaliza form six:
- miaka 3 philosophy; ambayo kwa hali ya kawaida ni degree hiyo, ila kutokana na mfumo wa kanisa wanaiita certificate. Baada ya hapo inafuata
- miaka 4 mingine ambayo husoma full specialization in THEOLOGY.... Na hapo ndio anaweza kuwa padri
-
- miaka 3 philosophy; ambayo kwa hali ya kawaida ni degree hiyo, ila kutokana na mfumo wa kanisa wanaiita certificate. Baada ya hapo inafuata
- miaka 4 mingine ambayo husoma full specialization in THEOLOGY.... Na hapo ndio anaweza kuwa padri
-