Hii topic tulijadili sana hapa mwaka jana Ritz, na nilidhani umeelewa. Na jitahada zilitumika sana kueleza elimu ya kanisa katoloki na utoaji wa vyeti wakati wa utawala wa Nyerere. Kama kuna mtu anaweza kuirejesha thread ya zamani naomba afanye hivyo.
NB: Hii topic umerudisha ghafla baada ya kuibuka uzi unaojadili CV/elimu ya Vicky Kamata. Sijui kwa nini unaona Dr Slaa wanatakiwa kujadiliwa katika level moja?
Mbona haueleweki,unasema nini...au ndo magamba wenyewe.Nyie wasomi wa wapi? Kama mtu ka skip ni kichwaaa! Mark mwandosya from bsc eng mpaka phd! Mnadiscuss vise versa!
Haya maneno ni yako CV ya Slaa sio ya kwanza mie kuileta acha watu wajadili kuna members wapya wanaitaji kujua sio wote wana miaka mingi humu JF.
Haya nime-copy toka kwenye mjadala wa zamani. Huu mjadala ulinzia mwanabidii ukarukia JF. Nanukuu majibu ya mdau,
"Tukianza na Kipalapala, hapa mwanafunzi anasoma form 5 & 6 pamoja na masomo ya Theology na baada ya hapo huunganisha na degrii ya theology.
Kipalapla kama ilivyo Institutions zote za Kanisa Katoliki (kwa level ya Philosophy na Theology) iiko affiliated na vyuo vikuu mbalimbali duniani kutoka nchi moja hadi nyingine.
Mfano, wanaosoma Zomba Theological College Malawi (Theology) na Kachebere Philosophical College (Philosophy) mpakani mwa Malawi na Zambia wanafuata marking scheme ya Chancellor College - University of Malawi. Kuna chuo kingine kiko Balaka Consorsium Philosophical College nadhani kiko affiliated na St Urban University, Rome.
Missionary Institute London (MIL) iko affiliated kwa Middlesex University (chuo cha serikali cha Uingereza) na Luvein University (Belgium). Wanaofuata mfumo wa Middlesex University kupata BA wanasoma miaka 3 na passmark yao ni 40%. Wanaofuata mfumo wa Luvein University kupata BA wanasoma miaka 4 na passmark yao ni 60%. Muhula unaanza Oktoba na kwisha Juni (miezi 8).
Mfumo wa kutoa final mark ni 1) class presentation na participation 2) essay writing 3) oral examination 4) defence of dissertation mbele ya internal & external examiners. Pia mtu anayepata first class, papers zake lazima ziwe marked na internal na external examiners na ajadiliwe kama anastahili first class degree na siyo tu kupata kwenye karatasi. Pia anayeshindwa, paper zake zinasahishiswa na examiners tofauti ili kuonesha kashindwa kweli au kama amepunjwa marks.
Kwa Tanzania, kwa sasa vyuo vyote kwa level ya Philosophy na Theology viko affiliated na St Urban University, Rome. Zamani, falsafa ilikuwa miaka 2 (sasa ni 3) na teolojia ilikuwa miaka 3 (sasa 4). Mtu akimaliza (Tanzania) alikuwa anapata certificate siyo kwa sababu masomo yalikuwa level ya chini ila kwa sababu maaskofu walikuwa hawajaridhia wahitimu wao kupata digrii licha ya kuwa walikuwa wanaombwa wanafunzi wapewe magamba kama ilivyokuwa kwenye vyuo vingine. Ilichukua muda kidogo.
Lakini kama mtu aliendelea na masomo ya juu walithamanisha masomo yale kwa chuo ambacho mtu anaenda kusoma maana content ya syllabus ya masomo ya falsafa na teolojia ni (universal) kwa vyuo vyote vya Kanisa Katoliki duniani tofauti ni kwa kila nchi wanaongeza mambo yanayohusu cultural understanding ya nchi husika including its legal system.
Uganda mtu akimaliza Jinja Philosophical College (Philosophy) anapata BA katika Philosophy. Akiendelea na Theology chuo kingine, anapata BA katika Theology na kuna vyuo vingine akimaliza Theology anapata MA. Inategemea chuo kina mfumo gani na kinafundisha nini - maana kuna baadhi ya masomo kama mtu hakuyafanya wakati wa philosophy atayafanya wakati wa theology.
Kwa baadhi ya vyuo, mtu mwenye BA ya Philosphy na BA ya Theology, akiendea na masomo ya juu 'specialisation', anaenda moja kwa moja kusoma PhD kulingana na vigezo walivyoweka (mfano, vyuo ambavyo vinafundisha Philosophy na Theology kwa pamoja). Kwa baadhi ya vyuo masomo haya yanatenganishwa - yaani, mwanafunzi anaamua ku'specialise' kwenye pure philosophy au pure theology. Na katika masomo yote mwanafunzi anafundishwa the secular view na religious view.
Maana ni hasa kumwezesha mwanafunzi kupata "solid and consistent knowledge of man, the world and God... The students should rely on that philosophical patrimony which is forever valid, but should also take account of modern philosophical studies, especially those which have greater influence in their own country, as well as recent progress in the sciences. Thus, by correctly understanding the modern mind, students will be prepared to enter into dialogue with their contemporaries." ( Vatican II, Training of Priests, Paragrapah No 15).
Kuna vyuo kama alikosoma Dr Slaa lecturers wote ni wa level ya profesa na kwenda kusoma huko mpaka uwe 'exceptional student' nadhani kama sikosei wanachukua wale tu wenye 'first class'.
Kitu kingine ninachoona kinampa wasiwasi (jina limehifadhiwa) ni pale anaposoma "Canon Law" au "Catholic Education" kwa kudhani padre anasoma tu biblia au mafundisho ya Kanisa. Mfano, Dr Slaa amespecialise katika Canon Law ambayo ndiyo mother of secular law na kusoma Canon Law ni lazima kuanza na how law developed na mpaka kuja kugawanyika into secular na religious laws.
Advantage ya Dr Slaa si tu kwamba ana'knoweldge' ya Canon Law lakini pia nini kinaitwa secular law na kwa nini - tofauti na similarities. Mfano, definitions of what is an irregurality, malice aforethought, the difference between legality and validity of an act, what is a valid marriage and a legal marriage, etc.
All Catholic Universities undertake secular studies mfano ni Catholic University of East Africa (CUEA), Kenya, ambako hata Waislamu wanasoma huko, St Augustine, Mwanza, Luvein University etc. kwa hiyo mtu akihitimu kwenye vyuo hivyo, huwa haangaliwi kuwa amesoma elimu ya dini bali kwamba ni mtaalamu katika taaluma fulani aliyoisomea.
Tofauti kwa mapadre ni kwamba mfumo wao wa mafunzo unachukua muda mrefu na wanajifunza mambo mengi - maana hadi kufikia upadre ni mpaka uwe walau umesoma miaka 10 baada ya Form VI". (mwisho wa kunukuu)
Ukitaka mjadala mzima. https://www.jamiiforums.com/jamii-intelligence/168414-kuhusu-cv-na-phd-ya-dr-slaa.html
Unless kama kichwa kimejaa matapishi, lakini thread unayoleta hapa ipo majukwaani kwa miaka sasa. Shughulisha ubongo wako, sio kumtumikia mume bila kufanya hata vetting ya analokutuma.
Halafu kuna wazembe humu wanamwita Dr wakweli, sasa hiyo phd ameipataje wakati hata degree hana? Halafu mbona povu linawatoka kuhusu hii topic? CV za watu kibao zimemwagwa humu JF na mkazipoindea.
Huyu jamaa ni mpuuzi sana anashindwa mdiscus fake Dr....analeta upuuzi wa kutumiwa na napi.....na waweza kuta ni mbumbumbu sana kajichokea mithri ya mgonjwa wa kwashiokohor......uwakala mwingine ni hatari sana....
Hapa Dr Slaa alivyokuwa mbunge hana BA wala MA lakini ana PhD
Member of Parliament CV
Salutation
Honourable
First Name:
Dr. Wilbrod
Middle Name:
Peter
Last Name:
Slaa
Constituent:
Karatu
Political Party:
CHADEMA
Office Location:
P.O. Box 119, Karatu - Arusha
Office Phone:
+255 784 666995
Ext.:
Office Fax:
+255 22 2668866
Office E-mail:
wslaa@parliament.go.tz
Member Status:
Current Member
Date of Birth
29 October 1948
[TH="colspan: 3, align: left"] GENERAL
[/TH]
[TD="align: center"] Member picture![]()
[/TD]
[TD="width: 20%"] Member Type:
[/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member
[/TD]
EMPLOYMENT HISTORY
School Name/Location
St. Thomas Aquinas University
TransWorld Tutorial College, London
Kwermusl Primary School(Mbulu)
Daudi Primary School
Karatu Primary School
Dung'unyi Seminary School
Itaga Seminary School
Kibosho Seminary School
St. Urban University, Rome
Kipalapala Seminary
International Eye H. Centre
[TH="colspan: 5, align: left"] EDUCATION
[/TH]
[TH="width: 27%"] Course/Degree/Award
[/TH]
[TH="width: 15%, align: center"] Start Date
[/TH]
[TH="width: 13%, align: center"] End Date
[/TH]
[TH="width: 10%, align: center"] Level
[/TH]
[TD="align: center"]Advanced Diploma in Rural Development
[/TD]
[TD="align: center"]1980
[/TD]
[TD="align: center"]1981
[/TD]
[TD="align: center"]ADV DIPLOMA
[/TD]
[TD="align: center"]Certificate in Management
[/TD]
[TD="align: center"]1985
[/TD]
[TD="align: center"]1985
[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE
[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education
[/TD]
[TD="align: center"]1958
[/TD]
[TD="align: center"]1960
[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY
[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education
[/TD]
[TD="align: center"]1961
[/TD]
[TD="align: center"]1961
[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY
[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education
[/TD]
[TD="align: center"]1962
[/TD]
[TD="align: center"]1965
[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY
[/TD]
[TD="align: center"]O-Level Education
[/TD]
[TD="align: center"]1966
[/TD]
[TD="align: center"]1969
[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY
[/TD]
[TD="align: center"]A-Level Education
[/TD]
[TD="align: center"]1970
[/TD]
[TD="align: center"]1971
[/TD]
[TD="align: center"]HIGH SCHOOL
[/TD]
[TD="align: center"]Certificate in Philosophy
[/TD]
[TD="align: center"]1972
[/TD]
[TD="align: center"]1973
[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE
[/TD]
[TD="align: center"]PhD (JCD) Law
[/TD]
[TD="align: center"]1977
[/TD]
[TD="align: center"]1981
[/TD]
[TD="align: center"] PHD
[/TD]
[TD="align: center"]Certificate in Theology
[/TD]
[TD="align: center"]1974
[/TD]
[TD="align: center"]1977
[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE
[/TD]
[TD="align: center"]Certificate in Eye Health
[/TD]
[TD="align: center"]1993
[/TD]
[TD="align: center"]1993
[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE
[/TD]
JF Daima...😛eace:
CV ya vick kamata? naona sasa mmeamua kuingia hadi jikoni . Laizma watoto wa baba wawe wakaliHii topic tulijadili sana hapa mwaka jana Ritz, na nilidhani umeelewa. Na jitahada zilitumika sana kueleza elimu ya kanisa katoloki na utoaji wa vyeti wakati wa utawala wa Nyerere. Kama kuna mtu anaweza kuirejesha thread ya zamani naomba afanye hivyo.
NB: Hii topic umerudisha ghafla baada ya kuibuka uzi unaojadili CV/elimu ya Vicky Kamata. Sijui kwa nini unaona Dr Slaa wanatakiwa kujadiliwa katika level moja?
CV ya vick kamata? naona sasa mmeamua kuingia hadi jikoni . Laizma watoto wa baba wawe wakali