CV ya Balozi Wilson Masilingi

Lissu anamudu hoja hahitaji bunduki, jiwe ndio hawezi hivyo ni lazima bunduki itakuwa suluhu yake.

TL anamudu umbea na uchonganishi kaongeza hoja ya wanawaita mabeberu na mnawachangia 50% ya bageti. Uongo mwengine huu wa kudanganya kuwa bajeti inachangiwa kwa 50% na USA na,Ulaya peke yao. Uongo uliotukuka.
 
Hiyo sio hoja bwana, wewe vipi. Yaani kufunga watu jela ndio umekuwa "Legend". Je kama aliwaonea. Your reasoning reflects shallow thinking and I wish you didn't post this.

Huku tegemea kusikia haya. Ndio jF hii hazina ya mambo na watu.
 
TL anamudu umbea na uchonganishi kaongeza hoja ya wanawaita mabeberu na mnawachangia 50% ya bageti. Uongo mwengine huu wa kudanganya kuwa bajeti inachangiwa kwa 50% na USA na,Ulaya peke yao. Uongo uliotukuka.

Bora uongo kuliko kutumia risasi kupambana na.muongo
 
Kusema masilingi hajapwaya ni sawa na kuitetea simba kuwa haikupwaya mechi iliyopita ugaibuni, aliniacha hoi pale Tundu lisu aliposema hii hoja ni ya kijinga, na yeye masilingi alipoulizwa ana semaje et unamuona anavyotukana vyombo vya usalama,
 
balozi anajuta kushiriki voa bora hata angetoa udhulu
 
matamshi yake yalifanya nijue kua anatoka kwa kina shomile😆😆😆 nilicheka alipoomba po et braza lisu akamwambia acha wewe toa hoja😆😆😆😆😆
 
Cha muhimu alichokisema balozi wetu wa Marekani, ambacho pia watanzania hatuwezi kusahau "Lisu rudi nyumbani" as if yeye Marekani ni nyumbani kwake. Mungu ibariki Tz, ibariki Afrika.
 

Nakubaliana na ww hoja safi kabisa
 
Jiulize wasaliti walifanywa nini hata kwenye misahafu.

Kama ni usaliti viongozi wa ccm walichokifanya taifa hili, leo hii ingekuwa tumepanga mstari mahali tunatubu dhambi za mauaji. Tumieni madaraka mpendavyo na muwaumize wote wasiowasujudia, iko siku madaraka yataisha hamtaamini kibao kitakavyogeuka.
 

Balozi anaweza asiwe eloquent kama Lissu lakini lugha anaimudu vizuri tu ukiachilia lafudhi ya lugha ya mama. Tatizo la ule mdahalo ni kwamba ulihitaji mtu mwongo kwelikwli (incorrigible liar). Balozi siyo mtu wa aina hiyo. Bora angeacha kwenda lakini Shaka angeeleza pale kuwa amepewa mwaliko na kushindwa kushiriki jambo ambalo lingemgharimu kibarua. Kwa watawala wetu wa sasa kupwaya na kusema uongo siyo tatizo; tatizo ni kuonekana kutowapigania kwa namna yoyote ile.
 
Nani alimpiga risasi Akwilina? Why should Mbowe and team be prosecuted! What about Wilbard mashauri is doing? WE unadhani dunia ni takataka kama CCM who can not reason!
 
Mkuu, naomba ufunguke zaidi hapo kwenye ugenius wa sheria.
Nataka kujua haswa elimu na uzoefu wake.

Na pia hilo la kujaribu "kumtoa Lissu kwenye angle fulani" unadhani ni sustainable? Litamzuia Lissu asiendelee kuongelea angle hizo?
Check CV yake ipo kwenye google.
 
Nani alikuambia kaenda kutetea? VoA waliona wasisikilze upande mmoja. TL analipwa na nani kwa ajili ya nini? Tusaidie wewe inaonekana unajua.

Mimi sijui nani anagharamia safari za TL lakini dunia hii inao watu wema wengi tu. Mbona hujauliza nani amegharamia matibabu yake Nairobi na Belgium? Kwa mfano, hiyo misaada ambayo Mabeberu walitaka kuipatia nchi yetu na sasa wamesimamisha kwanini sehemu ndogo isitumike kumgharimia Lissu ambaye ni mwanasiasa wa upinzania aliyetendewa vibaya kwa sababu ya siasa? Isitoshe Lissu hakuenda kutibiwa Belgium kwa bahati tu. Alikwenda huko kimkakati; makao makuu ya EU. Na Jarida la Economist limepata kuandika "How to save Tanzania: start by stopping Magufuli. How do you stop Magufuli? There are many ways to skin a cat!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…