CV ya Balozi Wilson Masilingi

Ni kweli kabisa. Mfano, Lissu alishindwa kuweka wazi; anatuhumu polisi kutohoji yeyote au kutotangaza kuwa wamemhoji nani?
Hata ukiibiwa, kuvamiwa na majambazi, polisi kama wanachunguza hawalazimiki kukuambia nani wamemuhoji.
Mtu ukiiangalia hii issue ki-Simba na Yanga utaona kile tu unachopenda kukiiona.
 
self restrain but be in control....
He was firm not out of control! He managed to provoke his opponent to lose focus on his plan.

Lissu alijikuta akijibu maswali ya Balozi tena technical questions ingawa Lissu u smart ulimsaidia kuyapangua ila alishindwa ku cover freely agenda zake kama alivyofanikiwa kwenye mahojiano ya peke yake.

Utata wa shambulio umebaki pale pale na dunia haijapata jipya maana taarifa zilizobishaniwa si mpya. Kwenye hili serikali imefanikiwa kupitia Masilingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jua kuwa huyo balozi ni wale vichwa Nyerere alituachia katika dakika zake za mwisho wa uongozi wake. Inasemekana alikuwa mmoja wa mahakimu vijana waliotingisha enzi hizo kwa kutia hatiani vigogo wahalifu walikuo na uwezo wakununua maisha yako.
Ok....little is known. Nasikia zaidi kuuzwa Kilimanjaro Hotel
 
Jua kuwa huyo balozi ni wale vichwa Nyerere alituachia katika dakika zake za mwisho wa uongozi wake. Inasemekana alikuwa mmoja wa mahakimu vijana waliotingisha enzi hizo kwa kutia hatiani vigogo wahalifu walikuo na uwezo wakununua maisha yako.
Anaonekana mtupu hata katika sheria ana ubabe ubae mwingi na vijihasira hasira....uyo ni mtamu ukimpeleka kwenye ligi lazima alie
 
Ni muhaya kumbe jamaa
 
masilingi ni msomi mzuri,ana degree saba,CCM tuna hazina kubwa ya wasomi,mfano profesa kabudi,ana PHD tatu,mwigulu ni mtaalamu wa uchumi africa nzima,professa mkumbo yeye amesoma hadi akarudi chuo kikuu kufundisha degree
Kama unasema Mwigulu ni mtaalamu wa uchumi....basi itakua ulitaga form 4 ww
 
Ndio maana umeona alikuwa mpole zaidi na kuonekana kuzidiwa kwa kila jambo
Balozi Masilingi: Ni muungwana na mwelevu pia ana staha nyingi na mwisho ni diplomat - sasa Lissu hayo yote hana yeye kucharanga ulimi kama amemeza cassette akitapika matusi na uongo - mtu mzima mwenye kuiwakilisha nchi yake hawezi kushindana naye. Lissu anafanya yale yafanywayo na maiti kaburini - huku akisema wataniona wapi (Ebyo omufu akolela a'nyanga ati baliba bambonaa!). Hivyo msilinganishe.
 
Wengi wameshindwa kuwa na moyo aliokuwa nao Masilingi. Kwenda kubishana na Lissu kwenye chombo cha habari cha kimataifa, tena ughaibuni, kwa lugha ya kingereza, mtangazaji na mgeni mwalikwa mwenzio wote wako dhidi yako. Yataka moyo

Lazima atetee aluemuweka.
 
Siyo kweli Balozi Masilingi alimueleza kwamba Lissu anatafsili hiyo sheria vibaya - Balozi anauelewa wa sheria kuliko Lissu. Lissu akaanza matusi. Na Balozi akamwambia kwamba hayo ni matusi. Ndipo niliona Lissu anaweweseka kiugonjwa ugonjwa - akapandisha kifafa cha madawa.
 
Kama hakuwa na majibu alienda kufanya nini sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Jambo likiongelewa sana especially shutuma nzito kama hizo bila kukanushwa basi huonekana kuwa ni kweli.
Tatizo ninaloliona hapa no kuwa hakuna anayejua undani wa jambo hili kuwa ni nani hasa wako nyuma ya tukio hili. Hata Waziri mwenye dhamana mwenyewe anajing'ata bado.
Kilicho wazi ni ushahidi wa mazingira. Palipo na nyumba za viongozi kama pale paliachajwe bila ya ulinzi?!!
Ina maana viongozi wetu hawako salama kama tunavyo aminishwa.
Pili siku zote tumekuwa tukisikia kuwa serikali ina mkono mrefu kupitia vyombo vyetu vya intelijinsia ambavyo mpaka sasa vimekaa kimya tofauti na wakati wa tukio la utekwaji la mfanyabiashara Mo.
 
Kama ni usaliti viongozi wa ccm walichokifanya taifa hili, leo hii ingekuwa tumepanga mstari mahali tunatubu dhambi za mauaji. Tumieni madaraka mpendavyo na muwaumize wote wasiowasujudia, iko siku madaraka yataisha hamtaamini kibao kitakavyogeuka.

Mulize TL kwanza kwa nini alinunuliwa na Fedha ya waliomtuhumu kwa ufisadi wakahubiri nabadiliko? Ilikuwaje akanunuliwa na wezi wa dhahabu akapinga juhudi za serikali na mh Rais JPM kujaribu kupambania haki yetu?
TL si malaika kama mnavyotaka kuaminisha watu hapa. Sisi wengine tunaona analipia udhalimu wake.
 

Jiwe aliyeagiza apigwe risasi ndio malaika?
 

Sasa kwa maneno haya ya kuhitimisha tunaposema huyu ni mhaini anayeshirikiana na wahaini wenzake mbona mnalalama. Ushahifi gani unahitajika zaidi ya huu? Na bungevlinaendelea kumuongezea fedha za kustop the cat!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…