uungwana classic
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 2,324
- 2,090
Hapo ndipo anaposhindaga TL kamheshimu in terms of age na utangulizi kwenye fani ya sheria lakini kwenye hoja alikalishwa mpaka anataka kupiganaTL mwenyewe alichachawa na kila wakati akimwita a very senior lawyer in Tanzania which means TL na misifasifa yake yote anakubali ni jr kwa mh Masilingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
