Zambotti
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,983
- 3,669
Ndio maana umeona alikuwa mpole zaidi na kuonekana kuzidiwa kwa kila jamboKa
Kama unazo point za kutosha si hoja, Hakuna Kazi ngumu kama kujibu ukweli
Ndio maana umeona alikuwa mpole zaidi na kuonekana kuzidiwa kwa kila jamboKa
Kama unazo point za kutosha si hoja, Hakuna Kazi ngumu kama kujibu ukweli
Asante kwa taarifa hii, lakini basi toka takwimu ili tuwe na hakika kwamba hutudanganyi. Maana wengine twapenda kufanya kross reference in tujiridhishe. AsanteJua kuwa huyo balozi ni wale vichwa Nyerere alituachia katika dakika zake za mwisho wa uongozi wake. Inasemekana alikuwa mmoja wa mahakimu vijana waliotingisha enzi hizo kwa kutia hatiani vigogo wahalifu walikuo na uwezo wakununua maisha yako.
Huku naye balozi kila saa akichachawa kwa kumuita Lissu 'MY BROTHER LISSU'
Sent from my iPhone using JamiiForums
hiyo intaviu imeumbua watu aibu niliona mimi @MasilingiNilicheka sana ile interview. Eti lissu wewe ni mdogo angu, lissu alichomjibu aibu niliona mimi
Ifike mahali watu wamuache lissu kutafuta kuumbuka tu
Kaka katika taaluma na utaifa.
Asante kwa taarifa hii, lakini basi toka takwimu ili tuwe na hakika kwamba hutudanganyi. Maana wengine twapenda kufanya kross reference in tujiridhishe. Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unajua hoja hazina majibu kama balozi unaenda kufanya nini?Masilingi hakupwaya hata kidogo. Ila zipo hoja ambazo hata ungemuweka Lissu kwenye upande wa balozi angepwaya sababu hazina majibu hadi leo. Kama waziri wa mambo ya ndani hana straight answer vipi balozi? Masilingi ni super genius na bingwa wa sheria, pia uzoefu wake ulimsaidia kumtoa Lissu kwenye angle flani ambazo wengi najua hamkuweza kusoma. Rudieni mahojiano yote muone mjadala uliegemea wapi na kwanini! Yule mzee yuko vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika kupigwa risasi ni nani yake?
Sent from my iPhone using JamiiForums
sasa alienda kufanya nini si angeenda MUSIBA?
hahaha huwa anasema .mm co msemaji wa ccm wala serikali ni mwanachama wa kawaida tu na nimwanaharakati na mzalendo ! najiuliza mzalendo akiamua kuwa kama musiba itakuwaje?




jibu ni musibaMasilingi ni umri unaomkaribia JK kama sijakosea. Wengi humu ni vijana na hawamjui ndio maana wanaulizia CV yake.TL mwenyewe alichachawa na kila wakati akimwita a very senior lawyer in Tanzania which means TL na misifasifa yake yote anakubali ni jr kwa mh Masilingi.
Kupigwa risasi ni ujinga wake kama alivyodhhiirisha tena katika kujiingiza kwenye uhaini kwa juhudi na maarifa.
Uhaini upi?au ye ndo amepiga zile 1.5tril?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hamtaki kusikia neno uhaini.Litamtafuna hili maana haliepuki kamwe kwa matendo ya mikono yake.
Masilingi ni umri unaomkaribia JK kama sijakosea. Wengi humu ni vijana na hawamjui ndio maana wanaulizia CV yake.
Unajua ukipenda kitu unakua kipofu na kiziwi bi mdadaNilicheka sana ile interview. Eti lissu wewe ni mdogo angu, lissu alichomjibu aibu niliona mimi
Ifike mahali watu wamuache lissu kutafuta kuumbuka tu
Kwahiyo mkuu unataka kuniambia kuwa balozi alijilipua kwelikweli hahahahhaaWengi wameshindwa kuwa na moyo aliokuwa nao Masilingi. Kwenda kubishana na Lissu kwenye chombo cha habari cha kimataifa, tena ughaibuni, kwa lugha ya kingereza, mtangazaji na mgeni mwalikwa mwenzio wote wako dhidi yako. Yataka moyo
Nanyi hamtaki kuulizwa CCTV iko wapi?
Sent from my iPhone using JamiiForums