Customer care representatives


thanx kwa maelezo yako, nimeyanote mahali nianze safari ya kupeleka c.v
 
Infinity ni ya Fisadi Johnson Rukaza,pia ana ofisi pale TRANIC PLAZA... ambayo Plaza iyo ni ya kwake... chedhea kina Rukaza...
 

intresting news, wewe upo spanco?
 
Ni kweli usemacho.ila kwa maisha ya mtu kujitegemea mwenyewe na salary ya lak na nusu kwa mwez lazma kuumwa na kukosa nauli alafu unasingizia ugonjwa
 
vp jaman hivi ajira za customer cares kwenye mitandao yetu ya cm zinakwendaje? Airtel wapo na spanco, ila kupata balaa, cjui tigo voda na zantel hali ikoje. Wana jamvi tujuzane kuhusu hz position.

Hao wanatumia system ya "kamlete"
 
Yeon pm means private message when u open ur profile kuna mahali utaona pm it means unam2mia m2 haisomwi public kam me nnavyoandka hapa
 
ku pm ndo unafanya vp naomba muongozo

ndugu Yeon karibu JF.....ku PM ni kumtumia mtu "Private Mesage" ambayo haitosomwa na yoyote isipokua huyo uliemkusudia,,...natumai umenielewa
 
Kaka kumbe na wewe ni job seeker? hahaha, kweli jf kuna mambo. Kuna siku ulikua unajitapa kwamba ulimaliza chuo kitambo, na kwamba una kazi yako nzuri tu, mara una kampuni, aisee!! Ama mko wawili mnatumia ID moja nini?
Hahaha hata mim hapa nimeshtuka kidogo ingawa post ni ya zamani kidogo kwa kumbukumbu zangu jamaa aliwahi toa comment juu ya kifo cha prof gani sijui huko COET(Udsm) nikajua kapiga Telecm Engineering..nimeshtuka kwa kweli..!
 

We lazima utakuwa supervisor ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…