Current Situation In Rwanda!

Mkuu janja yenu imefika mwisho ni suala la muda tu, Burundi mliwakandamiza bahutu tokea uhuru kwa miaka almost 40 ila meza ilipogeuka hamuamini mpka leo.
 
Hii hapa
 
Mkuu janja yenu imefika mwisho ni suala la muda tu, Burundi mliwakandamiza bahutu tokea uhuru kwa miaka almost 40 ila meza ilipogeuka hamuamini mpka leo.

Hahah ni kweli aisee janja yenu bado haijatambulika,naona vijana wenu wa Imbonerakure wako wanapiga kazi nzuri sana pale kwa pierre teh teh
 
Wewe ni Mtutsi mwooooooooooopooongo. Kwa ulichoandika hapo juu huyu jamaa yuko sahihi mna roho mbaya sana nyie watu.

Hahah kwa hio wewe ni mhutu mwenye roho nzuri sio?

Vipi mmeacha siku hizi kutumia mifupa ya hao watusi kama kuni kupikia chakula chenu tena huku mmevaa rozari?hahah interahamwe bana mpk Lipumba aliwataja aiseeee.
 
Namuonea huruma sana kijana.

Bado yupo hai hadi sasa?
 
Msisau pk na m7 n watu mashujaa mm nawakubali Sana wamehaso msituni Sana
 
Nadhani unachonena kinaukweli ila hakina uhalisia: mimi sikuamini Kama qadaf angeangushwA KWASABABU alikuwa na wananchi wengi wanaompenda, vilevile hata baadhi ya marais wa nchi za afrikaa walikuwa wanampenda because alikuwa akiwasaidia. Ni ajabu kuwa aliamgishwa as if ni kiongozi wa wanamgambo. Nakushauri wakati ukofikiri kuwa hakuna anayemuweza Paul ufikirie kuwa nature ipo pia. Naamin hii video itakuongezea uelewa kama bado uelewa wako una room ya kuelewa
 

Attachments

  • VID-20200315-WA0002.mp4
    4.7 MB
Halafu tukifika kule tuhamishe wanawake tu wote tuwalete huku Bongoland. Wakirudi baada ya miaka miwili ukabila kwisha.
Popote pale utakapowapeleka ujue wataendelea kuimport sperm kutoka kwako, Mwwnyeji ataishia kucheza mayenu tu🤣
 
Hahah hao watusi wanaoungana na wahutu kupigana na Kagame ni wakina nani hao?Ni hawa mademu wakina Rwigara wakina Nyamwasa,warembo wakina Calxiste a.ka Major Sankara wanaokamatwa kama kuku hahah very funny.
Kukamatwa kwa akina Sankara ni jambo nzuri sana kwakuwa inaonesha kuwa kuna attempts, trials are numbers iko siku akina sankara na akina rwigara hawatakamatwa. Hii ndo nature ya trials
 
Ina maana jamaa anategemea uungwaji mkono kutoka kabila lake pekee ili kusalia madarakani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…