BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 5,496
- 14,113
facts japo inaumiza sanaaaaa......Ujui ugomvi wa pk Na M7.Uko hivi pk anamforce M7 awafilisi matajiri wa kinyarwanda waishio Ug eti wanawasapot wanyarwanda kudai haki zao M7 amemgomea kwamba though awajafanya any crime UG hawezi washughulikia so pk kaweka kisasi Na M7 hadi akafunga mipaka,ukivuka tu risasi.
Mwisho wake tu ni pale atakapogusa maslai ya USA zile wanazoiba Congo kupitia M23 zikiisha tu watamfurusha madarakani Kama Gadaff Na Saddam.
Ukigusa maslai ya USA lzm uondolewe madarakani Kwa njia ya demokrasia,vikundi vya waasi au drones
Nikifikilia uzi wa Bossless, na hii clip! Huwezi kuuliza "mgonjwa anaendeleaje" wakati unaona watu wanashona sanda.Ingia YouTube mkuu. Kilichoongelewa hapo ni kopi 100% ya mambo yanayoonrkana Tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona, aisee.. Wahutu tupu ndani.. Dah!Anamiliki jela ya chinjachinja inaitwa Gitarama prison inaitwa jehanam of Africa Google uone
Tatizo shule unadhani madikteta huwa wanaona mbele aa wapi,Leo wengi hata walioshakufa wameziachia bad image familiar Na vizazi vyao havina heshima kijamii hata kitamataifa utazamwa negativelyKagame anaipa wakati mugumu sana Familia yake, watakao kuja kupata shida sana ni familia yake aisee na sijui jama wale Vijana wanashituka kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Cooked sababu wananufaika Na Congo kupiitia m23Mbona tunoana ripoti za Transparency Int. kuwa Rwanda ni nchi ambayo inaongoza kwa kutokuwa na matumizi mbaya ya madaraka (corruption) ikiwa imezizidi nchi zote za Afrika Mashariki na Kati hadi baadhi ya nchi za Ulaya?
wanaonufaika na Congo kupitia m23 Transparency international?Cooked sababu wananufaika Na Congo kupiitia m23
.Pk si kwamba ana intelligent Kali thus amedumu ajachokwa Na wakuu wa dunia,kosa la student wake ni kugusa maslai ya kina pompei thus wamemkalia kooni.
Huyo mjamaa ni muhuni ni wale wanaonunuliwa.Akili yako na PK ni sawa hamtaki ukweli ile kitu HIMA Empire aliyesema Mch Mtikila inatimia
PK amepata kura 99.999% kwako sio ajabu ukisema CCM inapendwa 100%
kwanini usiisikilize video?
cc mrangi @Richard irakunda
Check Na Burundi ingia BBC eyes on Africa uchek nyumba za Mateso Burundi uone mifereji imejaa damu za watu hii siri ndio iliyofanya Kurunziza aipige maarufu BBC Burundi.Ukimuona mtawala wa kiafrica peponi jua hio sio pepo.Wanawatendea waafrika ukatili wa hali ya juu kuliko hata mkoloni alivomtendea mabaya mwafrica.
Aliyosema ni mageni?Huyo mjamaa ni muhuni ni wale wanaonunuliwa.
Akiondoka lzm ilipuke ilitakiwa atengeneze mfumo imara hata asipokuwepo uendelee kuwepo.
Yeye ndie chanzo cha yaliyotokea lkn
Ntumie hiyo clip whatsap hpa jf haifungukiWhat is the future of Rwanda when Kagame expires
Jr[emoji769]
Na siku watu wakiweza kumtia mkononi pkUjui ugomvi wa pk Na M7.Uko hivi pk anamforce M7 awafilisi matajiri wa kinyarwanda waishio Ug eti wanawasapot wanyarwanda kudai haki zao M7 amemgomea kwamba though awajafanya any crime UG hawezi washughulikia so pk kaweka kisasi Na M7 hadi akafunga mipaka,ukivuka tu risasi.
Mwisho wake tu ni pale atakapogusa maslai ya USA zile wanazoiba Congo kupitia M23 zikiisha tu watamfurusha madarakani Kama Gadaff Na Saddam.
Ukigusa maslai ya USA lzm uondolewe madarakani Kwa njia ya demokrasia,vikundi vya waasi au drones
Ukigusa maslai ya USA lzm uondolewe madarakani Kwa njia ya demokrasia,vikundi vya waasi au dronesfacts japo inaumiza sanaaaaa......
Sent using My COVID-19
Shkran injiniaaaAkili yako na PK ni sawa hamtaki ukweli ile kitu HIMA Empire aliyesema Mch Mtikila inatimia
PK amepata kura 99.999% kwako sio ajabu ukisema CCM inapendwa 100%
kwanini usiisikilize video?
cc mrangi @Richard irakunda
Hyo bnnt yk atapigw San 3some we ngjKagame anaipa wakati mugumu sana Familia yake, watakao kuja kupata shida sana ni familia yake aisee na sijui jama wale Vijana wanashituka kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zaja za mwizi ni 40.Haijawahi tokea dikteta kufia madarakani historia inasema either wanauwawa,pinduliwa,furushwa uhamishoni,au kufia jelaNa siku watu wakiweza kumtia mkononi pk
Watagawana mwili wak[emoji23][emoji23]
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Hii Taarifa Imenipa Simanzi,Majonzi Na Huzuni! Nimeiwasilisha Kama Nilivyoombwa Na Msimuliaji!View attachment 1388803
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana jiraniDah! Hii Taarifa Imenipa Simanzi,Majonzi Na Huzuni! Nimeiwasilisha Kama Nilivyoombwa Na Msimuliaji!
View attachment 1388803
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalau Africa ya waarabu pana kaunafuu kidogoNa haya ndio yanatokea TZ pia!
Haya majitu sijui yametokea wapi!
Uganda pia the same!
Atleast Kenya kuna uhakika wa kuishi,the rest ni shitholes tupu!