Tatizo lenu nyinyi ni muungano ili kuweza kuitawala zanzibar na kunyakua rasilimali zake, kamwe hilo halitowezekana kwa kizazi hiki, mukwangwe uchi bungeni lakini mtaimbo umewaganda.
Tatizo kubwa linalo wasumbue eti zanzibar kujitangaza nchi, hivi mulikuwa hamuelewi kuwa zanzibar ni nchi ? Sasa muliiungana na nani kama zanzibar sio nchi ? Ndio mufahamu kuwa zanzibar ni nchi ina mipaka yake na ramilimali zake, hivyo basi rasilimali za zanzibar zitabakiwa kuwa za wazanzibari wenyewe, mukitaka musitake ndo ivyoo, vunjeni huo muungano tugawane mbao.
Ole Sendeka analia bungeni kura ya siri na wazi, ni wazi kwamba hofu yake kurudi kwa Tanganyika, na dhahiri kwamba wanao taka huu muungano ni Watanganyika kutaka kuitawala zanzibar na kuiba rasilimali zake, sasa munatumia vitisho kuwatisha wazanzibari watakao kwenda na msimamo wa DODOMO . Yagujuu
Mamlaka kamili kwanza ya Zanzibar.
P.S
Mujiandae kugawana mikoa, 120 makabila ? Hakutaishi salama ever and never. Soon utasikia mafia nao wanataka kujitenga, Na mkoa wa Tanga nao watataka kurudi himaya ya zanzibar, ,mombasa kenya harakati zimeanza kudai kutaka kujiunga na zanzibar. kazi kwenu.