Wakuu nimekutana na umati mkubwa wa wafuasi wa chama cha CUF ukiandamana kuelekea viwanja vya Kidongo Chekundu. Haya maandamano kwa mujibu wa matangazo wanayopita wakiyatoa ni kwa ajili ya kupinga malipo kwa kampuni tata ya DOWANS.
Jamani nimeuliza Maalim Seif naye yupo katika hayo maandamano?
Duh, hao KAVU wanaandamana kweli! ina maana CCM inajipinga yenyewe, hao ninavyojua ni CCM !!!!!!!!!!!!!!!!
CUF wameonyesha njia tuwaunge mkono tuache unafiki wa kudhani hakuna jambo jema linaloweza kufanywa na chama kingine cha upinzani zaidi ya CDM.