NGUZO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 257
- 46
Nimefuatilia thread toka juu, hamna kitu zaidi ya wivu na chuki za wazi zinazooneshwa na wapenzi wa CDM kwa CUF, Najua roho inawauma sana kwa CUF kuwa part ya serikali kwa Zanzibar, teh teh teh nyie wivu wa nini wakati wapiga kura wa CDM hawajafika hata 0.03% ya kura zote zilizopigwa Zanzibar?Halafu hiyo si ajenda yao, yao ni ile ile ya kila siku, MAUAJI PEMBA sasa bahati mbaya ajenda hiyo imefunikwa na muafaka ambao wanauchekelea kumbe CCM imewazunguka. Kukosa elimu ni tatizo kubwa... You can easily be tricked like CUF.
acheni Ujivuni nyie wafuasi wa Maaskofu, ifike wakati sasa kwenye jambo la maendeleo kwa Umma liungwe mkono, nyie kila siku ni kupinga tu! ndo maana Nchi yetu itaendelea kuwa tia maji tia maji miaka Lukuki sababu hamna ushirikiano wa kweli kwa wapinzani.