CUF Waandamana Kuipinga DOWANS

CUF Waandamana Kuipinga DOWANS

Wakuu nimekutana na umati mkubwa wa wafuasi wa chama cha CUF ukiandamana kuelekea viwanja vya Kidongo Chekundu. Haya maandamano kwa mujibu wa matangazo wanayopita wakiyatoa ni kwa ajili ya kupinga malipo kwa kampuni tata ya DOWANS.

DMussa,

Huyu mkurugenzi mpya wa utalii ni ndugu yako au muna uhusiano wowote?

Wache CUF waandamane leo...sisi tunasubiri maandamano yatakayoitishwa na chama makini au JF!
 
Humu hatuungi mkono waislamu kamwe. Waislamu hawajasoma na sisi tumesoma kwa hivo wao hatuwezi kushirikiana nao.
What a nice way to respond to a fellow Tanzanian!!??:A S confused: Kwani jamaa amezungumzia dini au chama?! Mmmmmh... hii mbegu ya udini aliyeipanda naona ashaanza kuona nuru ya mavuno
 
Nancy Tweed tafadhali sana usitusemee watanzania na wana-JF.
Mimi, na nina uhakika wapo watu wengi, wenye kufahamu na kuamini kuwa waisilamu ni watu makini na wenye sifa zote nzuri. Ukiambiwa utoe sababu za kutowa-support nina wsiwasi kama unaweza. Si vema kutoa maneno ya kujuisha watu kwa mfano wahaya wote ni.... wachaga wote ni.... wahehe wote ni... Hayo majumuisho wote tunajua si kweli

Watanzania tumeoana waisilamu na wakristo, tunashirikiana kwenye kwenye raha na shida na juu ya yote tuna matumaini na ndoto moja ya maisha bora na Amani kwa mama TANZANIA.

Tafadhali wapeni watoto na wajukuu wetu nafasi ya kuishi kwa upendo na sio chuki
 
Nauliza swali kwa afande Kova, kwani mtandao wenu wa intelijensia umesemaje safari hii?
Aloo !! Hapo Kova anapaogopa sana ,maana hao CUF waone hivyo hivyo kama wangelikuwa ni wao pale Arusha basi polisi wangekwisha zika mwenzao japo mmoja.
 
Hamana kitu pale yale ni danganya toto tu, CCM b, lakini tusiwalaumu wanajaribu kutafuta popularity ili angalau waendelee kusikika huku bara,
 
Humu hatuungi mkono waislamu kamwe. Waislamu hawajasoma na sisi tumesoma kwa hivo wao hatuwezi kushirikiana nao.
Usilete usanii kwenye jumba la sanaa! Hakika wewe ni muislamu na pia ni CUF au
CCM. Hakuna great thinker anaeweza kuandika utumbo kama huo. Hiyo yote ku
taka kuwaaribia CDM ili waonekane wadini. pum....fu wewe. Pelekeni pumba zenu
hukohuko kwenye vyama vyenu vilivyochokwa na wananchi.
 
Humu hatuungi mkono waislamu kamwe. Waislamu hawajasoma na sisi tumesoma kwa hivo wao hatuwezi kushirikiana nao.
Hivi ni lazima kila ukiona hoja uchangie hata kama huna la kuchangia? kutokusoma kwa waislamu na maandamano ya CUF vina uhusiano gani? Mtatiro anasalli Msikiti gani? Mbowe amesoma wapi? acheni ushabiki na mapenzi yasiokuwa na maana, mimi sitetei dini yoyote hapa ila nakerwa na watu kama huyu ambao mtaji wao wa kujenga hoja ni udini! kama unataka malumbano ya dini nenda jukwaa husuka ukampambane na kina X-plaster!
 
Duh! kwa kifupi CUF inavyochukuliwa sasa ni heri ya TLP!!

watanzania haya maandishi yenu yanaiweka CCM mahali pazuri mno!!! mmekubali kugawanyika subirini sasa mtawaliwe.. yalishasemwa humu. hata kama wanadanganya au unafiki still wako upande mzuri kuwa wanaipinga serikali, mnafiki nani hapa anayemsifia Sita na Mwakyembe walio kwenye cabinet ya CCM au hawa maskini CUF na wananchi majirani zetu walioamua kupinga haya malipo!!!

unajua ukisoma sana ile meseji ya MIAFRIKA NDIVYO ILIVYO UNAWEZA KUPATA KICHEFU CHEFU ,still they sound like intellectuals....my foot!!!
 
CUF leo wameandamana, na siku kadhaa pia hapo nyuma waliruhusiwa. CDM inachomolewa, imekaaje hii? Au ndo yaleyale?
 
Duh! kwa kifupi CUF inavyochukuliwa sasa ni heri ya TLP!!

watanzania haya maandishi yenu yanaiweka CCM mahali pazuri mno!!! mmekubali kugawanyika subirini sasa mtawaliwe.. yalishasemwa humu. hata kama wanadanganya au unafiki still wako upande mzuri kuwa wanaipinga serikali, mnafiki nani hapa anayemsifia Sita na Mwakyembe walio kwenye cabinet ya CCM au hawa maskini CUF na wananchi majirani zetu walioamua kupinga haya malipo!!!

unajua ukisoma sana ile meseji ya MIAFRIKA NDIVYO ILIVYO UNAWEZA KUPATA KICHEFU CHEFU ,still they sound like intellectuals....my foot!!!
Nimecheka sana Kheee Kheee
 
Hamana kitu pale yale ni danganya toto tu, CCM b, lakini tusiwalaumu wanajaribu kutafuta popularity ili angalau waendelee kusikika huku bara,
Na wao wanataka kuonekana walikuwemo kwenye msafara wa mamba na kenge wamo
 
PHP:
Wakuu nimekutana na umati mkubwa wa wafuasi wa chama cha CUF ukiandamana kuelekea viwanja vya Kidongo Chekundu. Haya maandamano kwa mujibu wa matangazo wanayopita wakiyatoa ni kwa ajili ya kupinga malipo kwa kampuni tata ya DOWANS.

Sote tunatakiwa tuwe barabarani hadi kieleweke....................
 
CUF wameonyesha njia tuwaunge mkono tuache unafiki wa kudhani hakuna jambo jema linaloweza kufanywa na chama kingine cha upinzani zaidi ya CDM.Hongera CUF hongera J Mtatiro kazi mnayoifanya ni kubwa na ngumu ila ipo siku Tanzania yenye neema,haki,usawa kwa wote utaonekena.

Mukubwa wote tungekuwanafikira kamazakwako tungemalizahalaka jinamizi ra mafisadi wanaonufaikanaufisadi nikikundi chawatu wachache ufisadi siserayachama chochote mze 6 mwakembe nawengine wasingepinga ufisad naatamwingine akijitokeza kupingaufisadi kwamoyo ote tusimubeze sababu niitikaditofauti zavyama tz siyachama1 mtu1 tushilikiane kuijenga tz yetu umojaninguvu
 
Ndugu mshikachuma asante kwa kunifumbua macho. Yamkini jamaa wanaojidai kuingiza udini kwenye mijadala mbalimbali humu JF ni wale wale walioianzisha wakiwa na mikakati na malengo maalumu ingawa kiuhalisia ni kitu ambacho hakipo. Ni mbinu chafu za "state organs" kujaribu kuvuruga mijadala kwa mwelekeo wa kui-dinisha.

Ni muhimu sana kujua mbinu za kukabiliana na nduli huyu ambaye kwake daima ni kugeuza hoja zote muhimu zikae kidini au kikabila kwa lengo la uchochezi ili apate wafuasi na pa kutokea. Watch out!
 
Wakuu nimekutana na umati mkubwa wa wafuasi wa chama cha CUF ukiandamana kuelekea viwanja vya Kidongo Chekundu. Haya maandamano kwa mujibu wa matangazo wanayopita wakiyatoa ni kwa ajili ya kupinga malipo kwa kampuni tata ya DOWANS.
mkuu kwanini hukujiunga na wewe???
 
Ndugu mshikachuma asante kwa kunifumbua macho. Yamkini jamaa wanaojidai kuingiza udini kwenye mijadala mbalimbali humu JF ni wale wale walioianzisha wakiwa na mikakati na malengo maalumu ingawa kiuhalisia ni kitu ambacho hakipo. Ni mbinu chafu za "state organs" kujaribu kuvuruga mijadala kwa mwelekeo wa kui-dinisha.

Ni muhimu sana kujua mbinu za kukabiliana na nduli huyu ambaye kwake daima ni kugeuza hoja zote muhimu zikae kidini au kikabila kwa lengo la uchochezi ili apate wafuasi na pa kutokea. Watch out!
sorry mkuu................vp bongo uliondoka siku nyingi sana???
 
Usilete usanii kwenye jumba la sanaa! Hakika wewe ni muislamu na pia ni CUF au
CCM. Hakuna great thinker anaeweza kuandika utumbo kama huo. Hiyo yote ku
taka kuwaaribia CDM ili waonekane wadini. pum....fu wewe. Pelekeni pumba zenu
hukohuko kwenye vyama vyenu vilivyochokwa na wananchi.
I think ur right abt the so called Nancy. Nimekuwa nafuatilia post zake, ni kama mtu ambaye anakurupuka tu. Sidhani hata kama anaujua uKristo
 
Back
Top Bottom