Albert Msando
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,019
- 171
- Thread starter
- #41
Chadema ni chama cha kanisa tu muna wasi wasi na ccm kuweka raisi muislamu ndio hasira zote muna ona maslahi ya kanisa yanahatarishwa.
kwani kuna ushahidi majimbo mengine mulishirikiana na ccm kuchakachuwa matokeo ili cuf isishinde
Kwa hiyo ni chama kipi ni cha msikiti tu? Unadhani CCM wataweka mgombea U-Raisi Muislam?
Hayo majimbo ambayo CCM ilishirikiana na CDM ili CUF isishinde ni ni yapi?
Na je Zanzibar CDM imeshirikiana na CCM pia?
Naweza nikawa natumia nguvu nyingi ya kufikiri kujadiliana na mtu ambaye haelewi anachokisema na hajui anachokiandika....niondoe wasiwasi kwa kunieleza 'muna' 'muna' ni kiswahili cha wapi?