CUF imepotoshwa na Hamad. Hamad karudi ccm kama Mrema na Lamwai walivyofanya, nyie wanachama na washabiki wa cuf sasa mmepotea na sijui kama mtarudi kuwa chama cha siasa tena. Mnacheza na ccm nyie, CDM tunapigana na ccm kila kona na tunajua jinsi gani walivyo na hatari, nyie wa-cuf mliweka too much hope kwa Hamad na amewatosa kwenye mdomo wa mamba. Lipumba siku nyingi anachukua na kulipwa na ccm, poleni na lengo la cuf sasa muanze kuvaa nguo za kijani.
Hivi Zanzibar ni Mkoa au Nchi? Jazeni nyie wenyewe.
Hivi Zanzibar ni Mkoa au Nchi? Jazeni nyie wenyewe.