CUF: Unafiki wenu ndio anguko lenu

Mkuu Chadema-kata nashukuru kwa hoja zako murua, umetufumbua vichwa tunashukuru sana kwa hiyo Chadema ni chama rasmi cha Wakiristo tu? Mwanza hata mimi napajua vizuri sana, sasa wale Waislam waliopigia Chadema Kura, Waislam wa Kirumba, Nyegezi, Igogo, Mkuyuni, Nyamanoro, Rufiji, Nyakato, Pansiansi, Igoma, Uhuru, Mtakuja, Mbugani, Bugarika, Mabatini, wapo wengi sana leo wamekuwa wabaya? nyie ndio mnaichafua Chadema nadhani ata Dk Slaa akisoma posts zako lazima atapike, Unawafukuza Waislam Chadema, wewe Chadema-kata ni Jabber basi tena ni Insubstatial

Mie sijazungumzia uislam unayesema uislam ni wewe mie nimesema upemba, sasa kama neno Upemba na uislam zinafanana fine, Iam now becoming worried with your understanding capacity I might be a dealing with a fool, and in CDM we believe Dont urge with a fool , people will not differentiate, katika maandiko yangu yote sijataja dini yoyote nilichosema mimi ni kuwa sehemu nyingi bara hata unguja ambapo CUF huwa inashinda ni kwenye Wapemba wengi na si Waislam .
 
Huwezi kuitoa CCm kama vyama vya kidini, kikanda na vinavyoongozwa na watu ambao hata kimaisha ni failure kama CUF,unaijua vizuri historia ya Lipumba from when he was at UDSM alikuwa anapendelea sana watu wa imani fulani hivi, soma kitabu kimoja kinaitwa" myth of mzee punch" kimeandikwa na mmoja wa wahanga wa mgomo wa UD 1990, Maalimu seif alitumia mbinu zake na uwezo wake wa kupndwa pemba kutafuta watu wa kumfuata, I promise you kama sheria ya kusajili chama ingekuwa hairuhusu kuwa na pande zote za Muungano CUF isingekuwepo bara for sure, maana a wengi, hata majimbo iliyochukuwa unguja ni pale penye wapemba wengi,Muulize Lwakatare kipi kilimtoa CUF, muulize Tambwe Hiza ,hata udiwani huwa inashinda maeneo ambayao ya wapembMuulize Professor safari na bwana mdogo mwalimu Mtatiro namsikitikia sana watamtoa tu kwenye reli hicho chama hakina sura ya kitaifa, kama wewe siye wa lile tabaka , Mapalala alitolewa Cuf kwa nini na wote hao ni watu wa dini moja why isiwe Hamad rashid au Lipumba afukuzwe CUF, mustafa wandwi wa msoma mbona hawafukuzwi??
wewe chadema kata- haya sio maadiko yako ya kuponda uislam? unataka tukubali pumba zako kuwa Prf Lipumba ni mdini ili marengo yako machafu dhidi ya Uislam yatimie sio? wewe ni Irreligious, Chadema angalieni sana hawa chadema-kata, wanafanya image ya chama kuwa mbaya, narudia tena wewe ni Jabber tu
 
Mie sijazungumzia uislam unayesema uislam ni wewe mie nimesema upemba, sasa kama neno Upemba na uislam zinafanana fine, Iam now becoming worried with your understanding capacity I might be a dealing with a fool, and in CDM we believe Dont urge with a fool , people will not differentiate, katika maandiko yangu yote sijataja dini yoyote nilichosema mimi ni kuwa sehemu nyingi bara hata unguja ambapo CUF huwa inashinda ni kwenye Wapemba wengi na si Waislam .
mkuu Chadema-Kata, kwa hiyo hizo sehemu za Mirongo kwenye diwani wa CUF, katika ya mji wa mwanza Uhuru, Mtakuja, Mkanyenye, Misheni, Sukuma, Rufiji, Usumau, Nkuruma, Mbugani, Mviringo, hii ndio kata ya Mirongo sasa thibitisha humu Jf kuwa hizi sehemu nilizozitaja ni makazi ya wapemba, tunasubiri jibu mkuu Chadema-kata
 
Method wa UDOM,

Hicho ndicho unachofundishwa shuleni/chuoni kwako? Kuandika kwa herufi kubwa? Kutokujibu hoja wakati unashauri wenzako wajibu hoja? Kutaka mambo ya msingi yaongelewe ili tuwe kama ughaibuni?

Unatamani tuwe kama Japan au Marekani? Unadhani hawana mijadala kama yetu? Hawana matatizo yao?

Je, kwa sababu uko chuoni mimi niko mtaani utakuwa na access ya information kubwa kuliko mimi. Nenda library then uje utuambie muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulikuwa maamuzi ya nani? Wananchi au?

Taratibu tutafika. Usiache kutuelemisha ndugu.
 
ChatuDume,

Nielimishe, hawa ChademaKata ni kina nani? Yaani ni watu gani? Na jina hili lina uhusiano wowote na shule za kata na vyuo vyake?

Samahani nimekutoa kwenye mada kidogo. Nataka nifahamu ndugu.
 
Huu muungano unatakiwa uvunjwe sasa. CUF naomba wakumbuke kuwa wameshawahi kuwekeana vinyesi kwenye visima vya maji huko Zanzibar na CCM, lakini hilo halikuwa kuvunja amani ya nchi. Walijilipua kwenda Uingereza na Shimoni - Kenya mpaka sheria za watanzania kuingia uingereza zikawabana watanzania zaidi ili kupunguza wingi wa wazanzibari wanaoenda huko, hilo halikuwa kuvunja amani. Waliandamana mpaka wana CUF 27 wakapoteza maisha huko Pemba Zanzibar, hata hivyo hayo hayakuitwa kuvunja amani ya nchi leo ya CHADEMA yanaitwa maandamano ya kuvunja amani. CHADEMA naona iwapuuze hawa traitors na iendelee na mapambano na elimu ya uraia kwa wananchi. Jamani, tanzania tumechoka. Hali ni ngumu sana, na hii yote ni kwa sababu ya siasa za kubebana za viongozi wa CCM ambazo mtu anabebwa hata kama uwezo hana. JK uwezo wa kuongoza hakuwa nao hata kidogo
 
ChatuDume,

Nielimishe, hawa ChademaKata ni kina nani? Yaani ni watu gani? Na jina hili lina uhusiano wowote na shule za kata na vyuo vyake?

Samahani nimekutoa kwenye mada kidogo. Nataka nifahamu ndugu.
mkuu nadhani wewe ni muelewa ni mtu makini mimi siwezi kuthubutu kukuita Chadema-kata, nasoma hoja zako nyingi tu Jf watu wanashindana kwa hoja, sio matusi na kashfa na kudharau dini za watu, sio lazima kila jambo mtakubaliana ndio maana ya Forums, hilo jina lina uhusiano na shule za kata , wapo pia CCM-kata kama vile Tambwe Hizza na wenzake. kwa kifupi wale wote JABBER, Chadema, Cuf, CCM, Nccr, Tlp, watakuwa kata, huu ni mtazamo wangu mkuu
 
Nduguzanguni,
CUF kuungana CCM kule Zanzibar ilikuwa na lengo moja kubwa. Kuiweka Zanzibar tena kwenye ramani ya dunia kama NCHI huru kabisa kama ilivyokuwa kabla ya Muungano wa 1964. Hilo limefanyika kwa umahiri mkubwa tu. Mabadiliko ya KATIBA yao yameliweka wazi hili bila kificho. Haya mengine ni blaablaa tu. Tunasubiri yaingizwe kwenye KATIBA ya JMT tuuvunje rasmi Muungano.
 
Nonda, nakumbuka the post uliyoweka hapa ambayo kwa kiasi fulani imechagia sana kunifanya nifikirie kwanini jina Taganyika 'lilikufa' na Zanzibar likabaki. Nagundua kwamba ingawaje lengo lilikuwa Tanganyika isiwepo kwa jina lakini nchi ilibaki.

Najua unafahamu tafsiri ya nchi ni nini. Turudi kwenye tafsiri hiyo.

Mkuu,
Kuna sehemu nilikutana na mada kuhusu muungano. Mzanzibari aliandika hiyo mada.Alisema kuwa kilichofanyika katika kuunda muungano ilikuwa ni Tanganyika kujiongezea eneo.(nikiiona tena nitarudi kukuwekea link)

Na hapa inaonesha unataka niamini hivyo. Hata hivyo nimependa kuwa umechukua muda kufikiri sana. Nahisi wanaJF wengine hawajakiona kitu hicho na ndio sababu wanawakejeli sana Wazenj wanapokuja na malalamiko yao.
Nafikiri pia ndio sababu CCM wameufanya Muungano kuwa ni taboo. Wengi wakijua kinachoendelea watabaki kimya kama CCM.
Lakini ,Msando kama umegundua hili basi nafikiri hatupaswi kubariki "unafiki".

Tuusemee na tuuoneshe kwa umma. Kwa sababu tumo kwenye mchakato wa EAC na sisi kama TZ hatutapenda kufanyiwa ujanja na nchi member katika nchi zinazounda EAC au vipi?

sasa vipi, bado unajipanga na utakuja na mada yako au joto limepungua? sio muhimu tena?

Nimerudi kukupa link....Nimeisona tena na kwa maneno uliyosema na conclusion uliyofikia basi ninyi watu wawili munakubaliana kwa aina fulani.
Si kweli kwamba Serikali ya Tanganyika haipo « Zanzibar Daima
 
Back
Top Bottom