African American
Senior Member
- Feb 6, 2012
- 165
- 62
Nikiwa na rafiki yangu tunafuatilia kwa makini mjadala wa muswaada wa marekebisho ya katiba bungeni jana, jamaa akaniuliza hivi CUF iko wapi?mbona upinzani ni CHADEMA tu bungeni?.Offcourse swali limenifanya nijiulize nini kimewasibu Cuf ambacho ndicho kilikuwa chama kikuu cha upinzani?Niwaulize wanachama wa Cuf kwa nini chama kimefubaa kiasi hiki?naanza kuafikiana na Hamad Rashid na kina Doyo!