Okey,...
nilisema hapa chadema haiwezi kushinda zanzibar
bali uchaguzi huu uta wasaidia sana kujijenga huko.
"Mashabiki" wa chadema via computer wakawa wakali kweli.
haya sasa.
nyoko hiyo signature yako bomba sana,inawafaa cuf
Watu kama nyie wenye fikra za kizamani eti nilisemaga kwani wewe Mungu? Au ndo walewale mlikuwa mnakesha makaburini uchi ili kauli zenu zitimie
Naona Chadema wanajiliwaza na Cuf baada ya kuchezea kichapo Uzini...Haa! Haaa! Haaaa!!
alikuwa ndanda.we nawe ulifia wapi!
Kujiliwaza nini wewe bloody fool? Wako wapi CUF? Fungeni ndoa kamili tujue moja.Naona Chadema wanajiliwaza na Cuf baada ya kuchezea kichapo Uzini...Haa! Haaa! Haaaa!!
Kujiliwaza nini wewe bloody fool? Wako wapi CUF? Fungeni ndoa kamili tujue moja.
You are rightHuu ni mwanzo mzuri kwa CHADEMA huko visiwani, one day watanzania wataelewa ubora wa chama hiki. Natoa pole kwa CUF anyway :A S embarassed::A S embarassed:
Kura zoote ambazo wamezipa CDM wamepewa na Waruguru ambao walipatiwa Vitambulisho vya Uzanzibari na CCM. Mzanzibari mwenye akili timamu hawezi hata siku moja kuipa kura CHADEMA. By the way CUF ni Silence Fighters ombeni Mungu awaweke hadi 2015 muje mushuhudie jinsi CUF itakavyo wasulubu watu.