Ni wiki mbili zimepita nimejiunga kwenye crypto currency baada ya kulazimishwa na rafiki yangu. Alinisihi sana nikasita. Aliniambia sasa hivi kabla ya October kuisha ukiwekeza kwenye coins sahihi ambazo alinisaidia kunionesha nitapata faida.
Nilisita ila siku tano zilizopigwa nikafungua account ya moja za crypto currency kumbuka mimi bado mgeni kwenye mambo haya.
Leo nimeangalia nimepata faida ya 900 dollars kwa 500 dollars niliyoinvest na inapanda.
Nilijuaga hii ni upigaji kama ile forex ya jamaa humu ila siyo. Ukiinvest tu kwenye coin nzuri unaweza kutoka sana na faida nyingi na kubwa.
Ni vizuri pia kujifunza kabla ya ku invest mtandaoni ama unamjua rafiki ambaye yumo kwenye gemu kwa muda. Kuna coins nyingi sana kwenye crypto nimeuja kujua.
Coin yenye thamani sasa hivi ni Bitcoin na Bitcoin moja ni 61,000 USD. Na miaka 10 iliyopita ilikuwa 50 cents.
Wale wazoefu wa Crypto (Bitcoin) tunaomba maujuzi yenu tu jifunze Zaid. Coins zipi zinafaa.
Crypto si upigaji
Karibuni kwenye mjadala
Nilisita ila siku tano zilizopigwa nikafungua account ya moja za crypto currency kumbuka mimi bado mgeni kwenye mambo haya.
Leo nimeangalia nimepata faida ya 900 dollars kwa 500 dollars niliyoinvest na inapanda.
Nilijuaga hii ni upigaji kama ile forex ya jamaa humu ila siyo. Ukiinvest tu kwenye coin nzuri unaweza kutoka sana na faida nyingi na kubwa.
Ni vizuri pia kujifunza kabla ya ku invest mtandaoni ama unamjua rafiki ambaye yumo kwenye gemu kwa muda. Kuna coins nyingi sana kwenye crypto nimeuja kujua.
Coin yenye thamani sasa hivi ni Bitcoin na Bitcoin moja ni 61,000 USD. Na miaka 10 iliyopita ilikuwa 50 cents.
Wale wazoefu wa Crypto (Bitcoin) tunaomba maujuzi yenu tu jifunze Zaid. Coins zipi zinafaa.
Crypto si upigaji
Karibuni kwenye mjadala