Cross-Examination Mahakamani

Cross-Examination Mahakamani

Tatizo mfungaji.. Vifaa havina shida kabisa

Jr[emoji769]
Sasa tuanzie wapi, na wakili msomi ndo yuko ubaoni.

Em waulize wazee huko akina subi na subiani kwenye majabali ya ulozi wakupe jibu

Kwa mwenendo wa hii kesi sisi wakogea kopo wa huku temeke mwembe yanga haki yetu tutaipata kweli.
 
Sasa tuanzie wapi, na wakili msomi ndo yuko ubaoni.

Em waulize wazee huko akina subi na subiani kwenye majabali ya ulozi wakupe jibu

Kwa mwenendo wa hii kesi sisi wakogea kopo wa huku temeke mwembe yanga haki yetu tutaipata kweli.
Inabidi kufanya consultation kwanza na wazee wa mila

Jr[emoji769]
 
Ananukuu Martin M.M

CROSS-EXAMINATION

(1) Wakili: Unakubaliana na mimi kuwa tuna maabara moja tu ya kupima virusi vya Korona?

[emoji843]Mheshimiwa: Ndio

(2) Wakili: Na unakubaliana na mimi kuwa maabara hiyo ipo kwenye maboresho na uchunguzi na hivyo haiwezi fanya kazi sasa?

[emoji843] Mheshimiwa Ndio. 1/3

(3). Wakili: unakubaliana na mimi pia hospitali zote pamoja na Aghakan na Regency zinaitegea maabara ya taifa kupima virusi vya Korona?

[emoji843]Mheshimiwa: Ndio.

(4). Wakili: Sasa mueleze mheshimiwa hakimu iliwezekana vipi Aghakan kutoa negative na Muhimbili positive. 2/3

[emoji843] Mheshimiwa: Hata mimi nashangaa imetokeaje.

(5) Wakili: Pia ieleze mahakama umejuaje kuwa wagonjwa wa virusi vya Korona wamepungua ikiwa maabara ipo kwenye uchunguzi

[emoji843]Mheshimiwa: Mhe. Hakimu ili swali gumu sana, ninaomba kwanza nishauriane na wataalamu wangu kabla ya kujibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WAKILI MSOMI: Je, una vielelezo vya kimaabara kutoka Mkemia Mkuu kuthibitisha marehemu Corona Wuhan aliuwawa na mtuhumiwa kupitia juisi ya malimao, tangawizi na kujifukiza! na baadaye mtuhumiwa kupiga pushapu kwa majigambo baada
tu ya kufanya hayo mauaji?

SHAHIDI: Hapana!

HAKIMU: Kesi inaahirishwa tena kwa wiki moja mbele.
 
Wahudhuriaji wa kesi wote vicheko, mbavu zinabana wakumshika bega hayupo.


Wote tunaulizana ndani ya mahakama tatizo ni holder au bulb???

Maana vyoote ni Tronics lakini vinatuvuruga mpaka yaliyokuwa majibu yamegeuka maswali.
"Wote tunaulizana ndani ya mahakama tatizo ni holder au bulb??? "
mzizi wa fitina uko hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom