Cross-Examination Mahakamani

Cross-Examination Mahakamani

(1) *Wakili:* Unakubaliana na mimi kuwa tuna maabara moja tu ya kupima virus vya Korona hapa Tanzania.

*Mheshimiwa* Ndio

(2) *Wakili:* Na unakubaliana na mimi kuwa mahabara hiyo ipo kwenye uchunguzi na hivyo haiwezi fanya kazi kwa Sasa

*Mheshimiwa* Ndio.

(3). *Wakili:* Unakubaliana na mimi pia hospitali zote pamoja na Aghakan na Regency zinaitegea maabara ya taifa kupima Virusi vya Korona.

*Mheshimiwa* Ndio.

(4). *Wakili:* Sasa mwambie mheshimiwa hakimu iliwezekana vipi Aghakan kutoa negative na muhimbili positive.

*Mheshimiwa:* Hata mimi mwenye ninashangaa imetokeaje.

(5). *Wakili:* Pia ieleze mahakama umejuaje kuwa wagonjwa wa wa Virusi vya Korona wamepungua ikiwa maabara ipo kwenye uchunguzi.

*Mheshimiwa:* Mhe. Hakimu ili swali gumu sana, ninaomba kwanza nishauriane na wataalamu wangu kabla ya kujibu swali hili.

Jr
Mmh
 
Kilichopo ni, Mmoja anatamka, milion 56 tuliobaki ni kusema Ndio bila kudadisi. Inakuwa Usiku inakuwa Mchana Dunia inazidi kuongeza speed hasubiriwi mtu.
 
*CROSS-EXAMINATION*

(1) *Wakili:* Unakubaliana na mimi kuwa tuna maabara moja tu ya kupima virus vya Korona hapa Tanzania.

*Mheshimiwa* Ndio

(2) *Wakili:* Na unakubaliana na mimi kuwa mahabara hiyo ipo kwenye uchunguzi na hivyo haiwezi fanya kazi kwa Sasa

*Mheshimiwa* Ndio.

(3). *Wakili:* Unakubaliana na mimi pia hospitali zote pamoja na Aghakan na Regency zinaitegea maabara ya taifa kupima Virusi vya Korona.

*Mheshimiwa* Ndio.

(4). *Wakili:* Sasa mwambie mheshimiwa hakimu iliwezekana vipi Aghakan kutoa negative na muhimbili positive.

*Mheshimiwa:* Hata mimi mwenye ninashangaa imetokeaje.

(5). *Wakili:* Pia ieleze mahakama umejuaje kuwa wagonjwa wa wa Virusi vya Korona wamepungua ikiwa maabara ipo kwenye uchunguzi.

*Mheshimiwa:* Mhe. Hakimu ili swali gumu sana, ninaomba kwanza nishauriane na wataalamu wangu kabla ya kujibu swali hili.


Cc
Mshana Jr
Hayo ndio matokea ya kuua upinzani bado watu hawajaona mambo.
 
*CROSS-EXAMINATION*

(1) *Wakili:* Unakubaliana na mimi kuwa tuna maabara moja tu ya kupima virus vya Korona hapa Tanzania.

*Mheshimiwa* Ndio

(2) *Wakili:* Na unakubaliana na mimi kuwa mahabara hiyo ipo kwenye uchunguzi na hivyo haiwezi fanya kazi kwa Sasa

*Mheshimiwa* Ndio.

(3). *Wakili:* Unakubaliana na mimi pia hospitali zote pamoja na Aghakan na Regency zinaitegea maabara ya taifa kupima Virusi vya Korona.

*Mheshimiwa* Ndio.

(4). *Wakili:* Sasa mwambie mheshimiwa hakimu iliwezekana vipi Aghakan kutoa negative na muhimbili positive.

*Mheshimiwa:* Hata mimi mwenye ninashangaa imetokeaje.

(5). *Wakili:* Pia ieleze mahakama umejuaje kuwa wagonjwa wa wa Virusi vya Korona wamepungua ikiwa maabara ipo kwenye uchunguzi.

*Mheshimiwa:* Mhe. Hakimu ili swali gumu sana, ninaomba kwanza nishauriane na wataalamu wangu kabla ya kujibu swali hili.


Cc
Mshana Jr
Seen...

Jr
 
Jana kuna taarifa nimesoma inamhusu aliekua Naibu waziri wa afya Dkt. Ndugulile juu ya kujifukiza kisayansi, alaf ikatokea nafasi yake ikatenguliwa na kubaki bungeni tu kama kawaida. Swali langu hivi inawezekana baadh ya viongozi wanatupa taarifa zisizo sahihi? Iwe kwa manufaa yao au kwa nafasi zao za kuteuliwa??? Mfano kwa Mh. Waziri mama yetu Ummy Mwalimu.
Mteule mweledi na wa kufanya kazi kwa kutumia taaluma na miiko ya taslimu hawezi fanya kazi na wakuu wa nchi. Anaeweza ni yule atakaekubali kufunga mdomo na kusubiri kuambiwa la kufanya na yeye kutelekeza kama alivyo ambiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo ya cross examination, ni balaaa. Lazima mtu ajichanganye.

Big up mkuu - Mshana Jr
(1) *Wakili:* Unakubaliana na mimi kuwa tuna maabara moja tu ya kupima virus vya Korona hapa Tanzania.

*Mheshimiwa* Ndio

(2) *Wakili:* Na unakubaliana na mimi kuwa mahabara hiyo ipo kwenye uchunguzi na hivyo haiwezi fanya kazi kwa Sasa

*Mheshimiwa* Ndio.

(3). *Wakili:* Unakubaliana na mimi pia hospitali zote pamoja na Aghakan na Regency zinaitegea maabara ya taifa kupima Virusi vya Korona.

*Mheshimiwa* Ndio.

(4). *Wakili:* Sasa mwambie mheshimiwa hakimu iliwezekana vipi Aghakan kutoa negative na muhimbili positive.

*Mheshimiwa:* Hata mimi mwenye ninashangaa imetokeaje.

(5). *Wakili:* Pia ieleze mahakama umejuaje kuwa wagonjwa wa wa Virusi vya Korona wamepungua ikiwa maabara ipo kwenye uchunguzi.

*Mheshimiwa:* Mhe. Hakimu ili swali gumu sana, ninaomba kwanza nishauriane na wataalamu wangu kabla ya kujibu swali hili.

Jr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mteule mweledi na wa kufanya kazi kwa kutumia taaluma na miiko ya taslimu hawezi fanya kazi na wakuu wa nchi. Anaeweza ni yule atakaekubali kufunga mdomo na kusubiri kuambiwa la kufanya na yeye kutelekeza kama alivyo ambiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ndo ule msemo wa ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO unapofaa kwa hali hii.
 
Wenyewe wanasema wamechomoa dakika za jioni kabisa mtoto wa Mpinzani mkuu alikuwa na Corona sasa mtoto wa no 1 nae amekutwa nao ila kapona kwa nyungu na malimao ila yule wa "disco" hajatangaza hii!!
 
Back
Top Bottom