Mtoa mada unazungumzia CRDB hii benki ya wachaga au kuna CRDB mpya imeanzishwa ?
Habari wakuu, nimeitwa kwenye interview tarehe 17 itafanyika CRDB BANK HOUSE MIKOCHENI,naomba mnielekeze nafikaje hapo Mimi natokea tabata kimanga. Nashukuru kwa msaada wenu maana kuuliza si ujinga
Panda gari za mbagala.? Utafika mpaka benk ya crdb hapo....
Ivi na dtb wanalipaga shs ngp maana kuna rafiki yangu apo mpka sasa ivi ameshindwa kununua kitanda. .
Sijawah kuvutiwa na kazi za benk,sijui kwa nini!
Sijawah kuvutiwa na kazi za benk,sijui kwa nini!
mbna kuna mtu al ku quote kuwa unapga mzgo crdb
Sijawah kuvutiwa na kazi za benk,sijui kwa nini!
una uhakika sikuwashirikisha au umejisikia tu kuropoka?kafie mbali huko

kuna x wife wangu anafanya hapo,wanapewa take home ya 500k na kila jmosi wanapewa weekend allowance elfu 50.Ivi na dtb wanalipaga shs ngp maana kuna rafiki yangu apo mpka sasa ivi ameshindwa kununua kitanda. .
Wanaishije hapa Mjini na Umaridadi wao? Lakini sidhani kama ni Kweli.kuna x wife wangu anafanya hapo,wanapewa take home ya 500k na kila jmosi wanapewa weekend allowance elfu 50.
ni kweli mkuu..sema umaridadi unaficha shida za mtuWanaishije hapa Mjini na Umaridadi wao? Lakini sidhani kama ni Kweli.
Kazi ulipata?si lazima uvutiwe na kila kitu
Hapana nipo sehemu nyingineKazi ulipata?