Hiyo ni basic.take home ni around 740 000
Kumbe mishahara yao kawaida tu
Hiyo ni basic.take home ni around 740 000
Wanalipa laki 9
Yani iyo bank imejaa wakina maro, ngowi, sasa yule jamaa tukimpa nchi si ndo tutajuta kuzaliwa
Acha uongo Kijana.! CRDB ukiingia unaanza na Gross salary ya TSH.650,000.! Probation ni miezi 6 na ukiwa probation hakuna makato, after probation unaanza kupata marupu rupu like teller allowance-Tsh. 200,000 (kama ukipangwa teller), meal allowance-Tsh.200,000 transport allowance Tsh.150,000 na overtime pia..!! Siyo sehemu mbaya kufanya kazi, na kwa mwajiriwa mpya ukifika unapewa Tsh.1.2M kama ela flan ya kuku-boost ambayo unapewa ya siku 30 kwa siku ni Tsh.40,000 so uki-times mara 30 ndo inakuja Tsh.1.2M.! Thats all about CRDB for new employer
Noooo c unajua mambo ya Tax tena.,tax ikishakatwa hapo ni majangaAllowance zinazidi mshahara ! kumbe crdb inalipa kama vile mbunge,, hongereni sana
Allowance zinazidi mshahara ! kumbe crdb inalipa kama vile mbunge,, hongereni sana
Umeitwa lini?
mkuu ni lini umeitwa
nimefanya Leo mkuu
vp mlikuwa wangapi mkuu?
tulioingia session ya saa mbili tulikua kama tisa hivi ila kuna wengine wamefanya saa nne
Nantombe winlicious so imefanyika nyumbani kwa Kimei au?
mwambie huyo anawaza ujinga tuKwa hii akili yako kamwe huwezi kua cpa holder,unaendelea kulia Lia ooh cpa cpa
mwambie huyo anawaza ujinga tu
Ivi na dtb wanalipaga shs ngp maana kuna rafiki yangu apo mpka sasa ivi ameshindwa kununua kitanda. .