Hivi crdb bank wana minimum ya muda gani ku clear telegraphic transfer? Nimetumiwa tt toka denmark toka ijumaa nikiangalia kwenye account yangu naona hela zimeingia hata sim banking kwenye mobile inaziona lakini mbona siwezi kuzichukua kwenye atm? Huu utaratibu ni standard au ubabaishaji
Hivi crdb bank wana minimum ya muda gani ku clear telegraphic transfer? Nimetumiwa tt toka denmark toka ijumaa nikiangalia kwenye account yangu naona hela zimeingia hata sim banking kwenye mobile inaziona lakini mbona siwezi kuzichukua kwenye atm? Huu utaratibu ni standard au ubabaishaji
Hawana kanuni mkuu, TT za local kuna siku inatumwa unaipata siku hiyo hiyo, kuna wakati mwingine unaipata baada ya siku tatu, wakati mwingine inachukuwa wiki inategemea na jinsi maofisa wa banki walivyo lala na kuamuka.
Nijuavyo mm tt huwa hazina post Value date...meaning zina imediately value date kama zipo kwenye a/c na huwez kuwithdraw meaning wapeziapply kwa value date so mpaka due or mature date ifike....Pole ndg ila pesa zako utazipata.
Yeah,,crdb wana magumashi flani they need to change kuna wakati jamaa yangu aliamuru watransfer pesa kulipia gari UK kupatikana TT mpaka mshikane mashati
Yeah,,crdb wana magumashi flani they need to change kuna wakati jamaa yangu aliamuru watransfer pesa kulipia gari UK kupatikana TT mpaka mshikane mashati
Kutuma pesa kutumia CRDB ni hasara maana nilituma pesa majuzi US$ 3204 na niliyemtumia akapewa Tsh 4,871,000 ambayo ni exchange rate ya 1520 kwa US$. Nilipojaribu kuangalia exchange rate ilikuwa ni Tsh 1560 kwa US$. Niliona kuna shida kidogo hapo.