CRDB Kitengo cha Refunds Acheni wizi

CRDB Kitengo cha Refunds Acheni wizi

CRDB in recent years ni kama wamebweteka kimtindo mm nliacha itumia maana nlikuwa nakuta madeni mtu wa saving a/c unambiwa una overdraft na hiyo hela ww ujawah iona na hata ukiomba bank taarifa zako za transaction wanakuzunguusha mpk unaona kero
Mkuu hiyo ya madeni hata mi ilinishangaza sana unakuta akaunti ina negative (-) salio unajiuliza imekuwaje tena? Kwani Benki inaruhusu utumie salio ambalo hauna kwenye akaunti? au mitambo yao huwa inakorofisha?
 
Nimefanya kazi benki shida mnajifanya mnajua kumbe bush lawyer kwenye kadi yako kuna alama ya PayPal? Na unaelewa maana ya visa au MasterCard?
We b.wege naomba ukae kimyaaa...Mtoa mada case yake ni ya pay pal. Yangu ni tofauti. Nimeongelea kwamba nimetumia visa payment gateway moja kwa moja sikutumia any third party kama pay pal na nimekutana na hiyo challenge.. Nitakutukana sasa hivi.....Wacha watu wenye majibu ya msingi walete majibu... Soma uelewe si kukurupuka kujibu tu.
 
Paypal ni gateway ndio kwani kabla ya kununua si unahamisha pesa kwenda PayPal then to seller? Na kwenye PayPal si ndo umemkabidhi pesa toka bank? Sasa hiyo acc ya PayPal benki inaijua? Benki ina access na akaunti yako ya PayPal? Were ndo unatakiwa kuhamisha tena pesa toka PayPal to bank account kama ulivyohamisha toka bank kwenda PayPal sio unalopoka kwakuwa una mb za kujitoa ufahamu JF

Huna ufahamu wa unachoongea. Kwa maelezo yenye ufahamu mdogo hujua hata PayPal ni nini. Nashauri ujielimishe kwanza. PayPal wana pore fund wanarudisha kwenye account ya bank ya mhusika na si account ya PayPal...pay pal ni gateway.
 
ngoja wengine wakujibu maana naona unatafuta kiki isiyo na sababu
Achana na bwege huyo anataka tu kuleta league zisizo na tija. Halafu anajibu utadhani yeye ndo mfanyakazi wa CRDB
 
Huna ufahamu wa unachoongea. Kwa maelezo yenye ufahamu mdogo hujua hata PayPal ni nini. Nashauri ujielimishe kwanza. PayPal wana pore fund wanarudisha kwenye account ya bank ya mhusika na si account ya PayPal...pay pal ni gateway.
Jinga kweli tuma SMS ya refund wamesema pesa iko wapi? Unadhani situmii huduma ya online purchase mijitu mingine aibu unajifanya unajua kumbe hujui. Kwenye acc yako ya PayPal kuna hela au hakuna? Je umeihamisha pesa ikatoka na huioni ilikokwenda? Acha ujinga
 
Jinga kweli tuma SMS ya refund wamesema pesa iko wapi? Unadhani situmii huduma ya online purchase mijitu mingine aibu unajifanya unajua kumbe hujui. Kwenye acc yako ya PayPal kuna hela au hakuna? Je umeihamisha pesa ikatoka na huioni ilikokwenda? Acha ujinga

Ili si jukwaa la kushinda ujuzi wa kutusi watu. Pole sana.
 
Mkuu hiyo ya madeni hata mi ilinishangaza sana unakuta akaunti ina negative (-) salio unajiuliza imekuwaje tena? Kwani Benki inaruhusu utumie salio ambalo hauna kwenye akaunti? au mitambo yao huwa inakorofisha?
kwa ulewa wangu watu wa current a/c ( za kibiashara) ndo wanaweza fanya overdraft sasa mm ka a/c kangu ka kudunduliza vi saving unanipa deni hyo hela bora hata ningekuwa naipata basi unakuta hata sijaiona nafikir kuna utundu utundu wa vijana wa IT pale
 
Natumia huduma ya kadi kufanya manunuzi online na kwa muda mrefu nimekuwa nikinunua vitu online kupitia paypal (gateway) lakini huwa inatokea muda mwingine nikanunua kitu halafu seller akashindwa kuleta nafungu kesi paypal na baadaye seller anaamua kunilipa (refund) lakini cha ajabu nikishalipwa na seller hela yangu huwa hairudi kwenye akaunti. Na mara nyingi nikirudishiwa hela paypal nao huwa wananitumia email kwamba nimerudishiwa hela na kwakuwa huwa nanunua kwa kutumia CRDB Visa Card hela yangu huwa inarudi kwenye akaunti yangu.

Hivi karibuni yapata kama mwezi mmoja na siku kadhaa hivi nilifanya transaction online ya $139.99 ambayo kwa hela ya kibongo ni kama 316,632 Tsh. Baadaye seller akasema kwamba ameishiwa na stock kwahiyo atarudisha hela yangu ili baadaye akiwa na bidhaa stock atanitaarifu nilipie tena. Baada ya siku tatu seller akanitumia meseji kwamba ameni-refund tayari na baadaye paypal wakathibitisha kwamba nimerudishiwa hela na imerudi kwenye akaunti yangu. Niliwasiliana na watu wa customercare kwa email nikawaambia juu ya suala hilo nao wakawasilisha kwenye Idara ya Refunds, baada ya hapo nikapokea email kutoka kwao kwamba niwatumie receipt ya refund hiyo kwa pdf nikafanya hivyo na nikawatumia na refunds zangu za nyuma ambazo kwa kipindi chote sikuwahi ziona kwenye bank statement yangu kama zimerudi.

Sasa cha ajabu tangu niwatumie hizo receipt hadi leo ni mwezi mzima hakuna mtu yeyote aliyetoa jibu kwamba nini kinaendelea, nimewaandikia emails zaidi ya saba hawajibu na nimewasiliana na watu wa customercare wanasema tatizo lako tumeliwasilisha wanalishughulikia. Lakini cha ajabu kwa kipindi hiki chote ninachosubiri kupata majibu kutoka kwao kuna harufu ya wizi naiona. Kuna thread kama hii niliisoma hapa kwenye jukwaa inaelezea jinsi wanavyoshirikiana kuzila hizo pesa za refunds kwa kugawana kuanzia kwa wakubwa wa vitengo hivyo ndio maana kwenye suala langu la kudai refunds zangu kuna kigugumizi kikubwa.

Najua kuna wengine wanaweza kuwa na experience kama hii nawaombeni mjitokeze hapa maana nafikiri hii siyo misingi bora ya utoaji huduma especially kwa Benki kubwa kama CRDB ambayo wateja wengi tunaiamini. Inaweza kuwa kuna watu wachache wanafanya hizo mambo na kuichafua Bank lakini nashangaa hata watu wa customer service nao kutojibu querry za wateja ni maadili ya kazi zao?

Acha kutumia Vibaya mitandao ya Kijamii
 
Thank you kwa taarifa hii, sababu sitsjaribu kutumia hiyo benki kwa hayo na lolote menginevyanayohusu kurudishiwa pesa.
 
CRDB in recent years ni kama wamebweteka kimtindo mm nliacha itumia maana nlikuwa nakuta madeni mtu wa saving a/c unambiwa una overdraft na hiyo hela ww ujawah iona na hata ukiomba bank taarifa zako za transaction wanakuzunguusha mpk unaona kero

Basi wamezidi wizi hata savings account bila maelezo dah!!!!
 
Jinga kweli tuma SMS ya refund wamesema pesa iko wapi? Unadhani situmii huduma ya online purchase mijitu mingine aibu unajifanya unajua kumbe hujui. Kwenye acc yako ya PayPal kuna hela au hakuna? Je umeihamisha pesa ikatoka na huioni ilikokwenda? Acha ujinga
Sasa jamaa amepata shida anaomba msaada wewe unamsaidiaje maana umeingilia tu thread kuleta ubishii. Muelekeze hatua stahiki ambazo anapaswa afanye wewe si unadai una uzeofu na mbao ya benki? Kama huna msaaada kwake ni mara kumi ukanyamaza tu
 
Mtu mbumbavu dawa ni kumuacha na kumpuuza tuu...Sipendi kuwa quoted kumaanisha kwamba sitaki tena interaction na mtu aliyeshupaa kwa upumbavuu. Mtu kaja na shida ameuliza na kuuliza si ujingaa.. Sasa kama una akili ndogo unaanz aku shut down.
 
Back
Top Bottom