manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,723
Miezi kama sita iliyopita nili deposit shiling milion moja kwenye account yangu ya hapo CRDB jana nikaenda pale kutaka kuchukua kiasi fulani cha fedha nikaomba bank statement yangu,nikapewa balance inaoonyesha nina shilingi elfu kumi na mbili tu.
Sikuamini nikamuuliza yule bwana mbona niliweka shilingi milion moja mwezi wa tisa na kwenye account nilikuwa na elfu ttemanini kabla sija deposit hiyo pesa? Jamaa akacheck akaniambia inaonekana hiyo pesa ilichukuliwa kwa njia ya ATM machine kataika awamu mbili tofauti.
Nikamwabia aliechukua ni nani sababu mi sijawai kuja chukua hiyo pesa, nikamwambia si kwenye ATM machine kuna camera yenye uwezo wa ku track matukio yote ya hapo check ili tuone aliechukua hiyo pesa jamaa akachek baada ya mda akaja na kuniambia aliechukua inaonekana alikuwa amejitanda kitu kichwani na picha haipo clear.
Nikamsisitiza anionyeshe hiyo picha kama ni mtu wa kwenye familia yangu nitmjua hata kwa umbo jamaa mara aingie ndani atoke bila majibu ya maana.Nikamwambia aniruhusu kama yeye ishu ameishindwa niende kwa meneja jamaa(bank teller) akaniambia nisubiri ila mpaka ikafika saa kumu na moja walikuwa hawajanipa jibu la nani kachukua pesa yangu.
Akawa ameniambia leo nirudi pale bank tuweze kucheck tena. Kwa bahati mbaya leo nilikuwa nasafari ya siku kama saba ndio nitarejea hivyo sikuweza kwenda pale.
Maswali mengi nilijiuliza sana je kuna mtu mwingine alishapatwa na shida kama hii? Na ni hatua gani ntaweza kuzichukua pindi nitakapo rudi kama hawatanipa majibu ya kutosha?
Sikuamini nikamuuliza yule bwana mbona niliweka shilingi milion moja mwezi wa tisa na kwenye account nilikuwa na elfu ttemanini kabla sija deposit hiyo pesa? Jamaa akacheck akaniambia inaonekana hiyo pesa ilichukuliwa kwa njia ya ATM machine kataika awamu mbili tofauti.
Nikamwabia aliechukua ni nani sababu mi sijawai kuja chukua hiyo pesa, nikamwambia si kwenye ATM machine kuna camera yenye uwezo wa ku track matukio yote ya hapo check ili tuone aliechukua hiyo pesa jamaa akachek baada ya mda akaja na kuniambia aliechukua inaonekana alikuwa amejitanda kitu kichwani na picha haipo clear.
Nikamsisitiza anionyeshe hiyo picha kama ni mtu wa kwenye familia yangu nitmjua hata kwa umbo jamaa mara aingie ndani atoke bila majibu ya maana.Nikamwambia aniruhusu kama yeye ishu ameishindwa niende kwa meneja jamaa(bank teller) akaniambia nisubiri ila mpaka ikafika saa kumu na moja walikuwa hawajanipa jibu la nani kachukua pesa yangu.
Akawa ameniambia leo nirudi pale bank tuweze kucheck tena. Kwa bahati mbaya leo nilikuwa nasafari ya siku kama saba ndio nitarejea hivyo sikuweza kwenda pale.
Maswali mengi nilijiuliza sana je kuna mtu mwingine alishapatwa na shida kama hii? Na ni hatua gani ntaweza kuzichukua pindi nitakapo rudi kama hawatanipa majibu ya kutosha?