Ishu zako huwa zina utata sana..sijui kwaniniHahaha! Mie vyangu nimemtumia TF kwa PM akimaliza kuedit ataweka hapa....
Nafikiri huwa ikitokea umemkumbuka mtu fulani ndio sasa unaanza kukumbuka those crazy things you did...au labda mnaweza kuwa mnakumbushiana ulipomkosea mwenzako what crazy thing you did to get him/her
back..
Hahaha!! I want to crawl inside you like Luke skywalker crawled up inside tauntaun to protect himself from sub-zeroThis other guy is in the process to crawl inside his girl's body!...huh!1..This crazy Love!
View attachment 49877
Vingine huwa vinakuja tu bht... Unajikuta umekifanya bila kujiuliza mara mbili then baadae ndo wajiuliza hivi pale ilikuwaje?..I concur with this but I think you did get my question
I will come again: ni hivi hicho ambacho kinakuja kuwa 'the crazy thing one did in the name of love' kabla hajakifanya sasa, huwa anakuwa amekifikiria au kukipangilia au kinakuja tu vuuup na yeye anakifanya right away??
Vingine vitahatarisha ndoa lol...mruhusu anifowadie nataka kudesea hapo
Ndahani unakumbuka hata jana kwenye thread ya Jolie I told you am passionate about the things I love.... Tatizo mimi kusema hayo haina maana na wala sio gurantee kua the one I am feeling for ana feel the ame way or if at all he appreciates... ndio hapo mchezo wa Mapenzi anapokua wa Ovyooo sana. :bump2:
Vingine huwa vinakuja tu bht... Unajikuta umekifanya bila kujiuliza mara mbili then baadae ndo wajiuliza hivi pale ilikuwaje?..
kwani uliua mtu?
Sijawahi wala nia na madhumuni sina
hahahhaaaa
'worst case scenario'
nimevumilia nimechoka, wiki bado kwani???
Yeah ni kweli mpendwa!...anajutia haswa manake mume alimnyang'anya mtoto tena mdogo...Enhee, sasa hapo no kama huyo shostito wako, naona anajutia hadi leo
Nadhani hatufikirii mara mbili mbili, no wonder they are 'crazy things' one does for love...lol.
nakumbuka kuna siku I talked to her from 2200hrz to 5am! Was it not crazy?
Naona watu wanaona aibu kufunguka....Hahaha!! PJ ya kwako kali nina imani huko porini haikuwa maeneo ya Mikumi..
Hahahaha...Sijawahi wala nia na madhumuni sina