"CRAZY Things We Do For Love"...

Nilishawai kuwa in love
Yaani huwa najiachiafull hadi najisahau mwenyewe
Every moment of time/every second minute,hour namuwaza lover wangu tu
i miss him every moment of time
yaani naconcentrate 90% ya maisha inakuwa ni love
thats why hata yanapofikia mwisho huwa najiuliza sana nikwa nini maana nilitumia effort na energyzote kumwili na kiroho kujenga hayomahusiano
Ni kwasababu you were in LOVE...
 
hapa tatizo langu kuu ni vingeredha tu...!

saa sijui nachangiaje hii mada...!ngoja nitafute dikshenare
Teamo labda kama unataka ku-translate kutoka Kiingereza cha Oxford kwenda cha Cambridge..
 
The Finest uzi mzuri sana, nimejikuta najichekea peke yangu...

Kiukweli sina hakika kama kuna ambaye atakuwa hajafanya Crazy things when he/she is in real love.. Mengine ya aibu swahiba hayafai kuandika humu lol... Ila yapo mengi...
 
Thanks indeed....Don't forget strawberries as well love and angel as should be included on the anniversary..
tuta hakikisha angel ka lala .... then...

Strawberries, malted chocolate, whipped cream hahahahah lol crazy things we do for love lol
Candles , passion pop wine, and romantic bubble bath with beautiful red roses on top hahaha ..
 
The Finest uzi mzuri sana, nimejikuta najichekea peke yangu...

Kiukweli sina hakika kama kuna ambaye atakuwa hajafanya Crazy things when he/she is in real love.. Mengine ya aibu swahiba hayafai kuandika humu lol... Ila yapo mengi...
Swahiba yaseme tu, ila ile stori ulivyomwambia jamaa kuwa umekimbizwa hospitali sitoisahau jamaa akaacha kazi zake..lol
 
tuta hakikisha angel ka lala .... then...

Strawberries, malted chocolate, whipped cream hahahahah lol crazy things we do for love lol
Candles , passion pop wine, and romantic bubble bath with beautiful red roses on top hahaha ..
Mhhh!!! Yummy Yummy...Now you are talking... also don't forget chasing you with a plane while you are running on an air strip...lol
 
I know but you have raised the standard. You want him to be like Brad Pitt so that you could become Jolie of your kind...na maisha mazuri yanataka hivyo siku zote. Hailipi mtu kukaa kama stagnant water...by the way some of these threads contribute to our well being day in day...we smile, we joke, we relax and continue the journey without denying ourselves the good reasons of why we are living

Oh' Ndahani.... That is so sweet of you.... Nimependa maneno yako on every day life... Ukiwa positive na msimamo positive... yalo kuzunguka hua mepesi walau to some extent kuliko ukiwa otherwise...
 
hapa tatizo langu kuu ni vingeredha tu...!

saa sijui nachangiaje hii mada...!ngoja nitafute dikshenare


Teamo... When ever I see your name I remember the thread To Love and feel Loved (that is the first time I really knew you); sioni kama utakua umetutendea haki kutubania the CRAZY things you have done when you were in Love....lol
 
Mende banaa.....hahaha

Watalaam wa saikolojia tunayajua haya
Sawa na darasani mademu wanavyo shobokea Kipanga wa Math, Kiingereza na masomo mengine.
Kwenye maisha mademu/demu huyo huyo anashobokea mtu mwingine mwenye fedha aka makuta meengi
Na wakisha shoboka kuvuliwa chupi ni rahisi tu kama unamsukuma mlevi hili lipo wazi
 
Oh' Ndahani.... That is so sweet of you.... Nimependa maneno yako on every day life... Ukiwa positive na msimamo positive... yalo kuzunguka hua mepesi walau to some extent kuliko ukiwa otherwise...
Indeed AD....positive thinking, positive outlook of life...maisha haya tuyapeleke vizuri mpaka tunapoweza.
Turudu kwenye mada, crazy things we do for love, lol
 
Watalaam wa saikolojia tunayajua haya
Sawa na darasani mademu wanavyo shobokea Kipanga wa Math, Kiingereza na masomo mengine.
Kwenye maisha mademu/demu huyo huyo anashobokea mtu mwingine mwenye fedha aka makuta meengi
Na wakisha shoboka kuvuliwa chupi ni rahisi tu kama unamsukuma mlevi hili lipo wazi

hahaaaa mmmhhh....kwaheri!
 
Nimepitia Post kwa post katika hii thread, lakini hadi nafika post #53 sijaona mtu aliyeeleza 'Lively' vitu vya ukichaa alivyowahi kuvifanya katika experience ya penzi kwa mtu wake...tunaongelea literature zinazohit around the bush....too bad!
Sidhani kama mleta mada alitaka thread iende hiv, japo na yeye mwenyewe amekuwa carried out na wanao'derail thread yake!...huh!!

Mimi wakati huo nikiwa katika peak ya mapenzi nilishawahi kusafiri Kilometa 1600 kufuata penzi, nikaharibikiwa na kulala porini siku 5!...nilipofika kwa mtu mlengwa alishtuka mno kwa ujio wangu(maana nilimsurprise) hadi akaishia kuumwa tumbo kwa siku 3!
Niliporudi kunako ofisi nikakuta kibarua kimeota nyasi, enzi hizo hakukuwa na simu za mkononi, hivyo hata kuwapigia watu wa ofisi kuwa nimestuck ilikuwa haiwezekani!...Bahati nzuri nikapata kazi sehemu ingine!

Mapenzi ni kichaa full!
 
Swahiba yaseme tu, ila ile stori ulivyomwambia jamaa kuwa umekimbizwa hospitali sitoisahau jamaa akaacha kazi zake..lol
Lol...ndio mana nimebaki najichekea swahiba....bora mimi nilimdanganya jamaa nimekimbizwa hospital,

kuna mdada mmoja jirani yangu aliwahi kumpa mtu simu apige kwa mumewe amwambie kuwa kagongwa na gari na amefariki palepale...ni story ndefu ila baadae tulimuuliza mdada kwanini alifanya vile anasema ni kwaajili ya upendo alionao kwa mume wake... TF hiyo nayo twaiitaje? Manake kuna Crazy things nyingine waweza fanya ukajikuta wamtoa mwenzio roho ati..
 
Nimepitia Post kwa post katika hii thread, lakini hadi nafika post #53 sijaona mtu aliyeeleza 'Lively' vitu vya ukichaa alivyowahi kuvifanya katika experience ya penzi kwa mtu wake...tunaongelea literature zinazohit around the bush....too bad!
Sidhani kama mleta mada alitaka thread iende hiv, japo na yeye amekuwa carried out na wanao'derail thread!...huh!!

Mimi wakati huo nikiwa katika peak ya mapenzi nilishawahi kusafiri Kilometa 1600 kufuata penzi, nikaharibikiwa na kulala porini siku 5!...niliporudi nikakuta kibarua kimeota nyasi, enzi hizo hakukuwa na simu za mkononi, hivyo hata kuwapigia watu wa ofisi kuwa nimestuck ilikuwa haiwezekani!...Bahati nzuri nikapata kazi sehemu ingine!

Mapenzi ni kichaa full!
Naona watu wanaona aibu kufunguka....Hahaha!! PJ ya kwako kali nina imani huko porini haikuwa maeneo ya Mikumi..
 
Nimepitia Post kwa post katika hii thread, lakini hadi nafika post #53 sijaona mtu aliyeeleza 'Lively' vitu vya ukichaa alivyowahi kuvifanya katika experience ya penzi kwa mtu wake...tunaongelea literature zinazohit around the bush....too bad!
Sidhani kama mleta mada alitaka thread iende hiv, japo na yeye mwenyewe amekuwa carried out na wanao'derail thread yake!...huh!!

Mimi wakati huo nikiwa katika peak ya mapenzi nilishawahi kusafiri Kilometa 1600 kufuata penzi, nikaharibikiwa na kulala porini siku 5!...niliporudi nikakuta kibarua kimeota nyasi, enzi hizo hakukuwa na simu za mkononi, hivyo hata kuwapigia watu wa ofisi kuwa nimestuck ilikuwa haiwezekani!...Bahati nzuri nikapata kazi sehemu ingine!

Mapenzi ni kichaa full!
Ulifanikiwa kupata hilo penzi PJ?.....
 
Lol...ndio mana nimebaki najichekea swahiba....bora mimi nilimdanganya jamaa nimekimbizwa hospital,

kuna mdada mmoja jirani yangu aliwahi kumpa mtu simu apige kwa mumewe amwambie kuwa kagongwa na gari na amefariki palepale...ni story ndefu ila baadae tulimuuliza mdada kwanini alifanya vile anasema ni kwaajili ya upendo alionao kwa mume wake... TF hiyo nayo twaiitaje? Manake kuna Crazy things nyingine waweza fanya ukajikuta wamtoa mwenzio roho ati..
Halafu bahati mbaya anatoka nje kweli halafu anagongwa na gari..lol...sijui inakuwaje maana kuna ishu zingine inakuwa kama vile unajichulia kifo chako kabisa....
 
labda naweza sema ''the craziest things ever''....!

mi kitu kikubwa kabisa ambacho naweza sema ni the craziest ever ni hii situation of failing to get married to my first

love..!one can imagine on how do we bank/invest on our first lovers...!you know what...i gave her my all!...i was

madman!...and it never worked to the destiny
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom