bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
honestly sijawai kuona ukichangia thread zaidi ya kuchakachua?
sijui kwa nini haukupewa zaidi
maana upo juu kwa kuchakachua
you stole my words Smile...
nilitaka kumuuliza leo huchakachui?
honestly sijawai kuona ukichangia thread zaidi ya kuchakachua?
sijui kwa nini haukupewa zaidi
maana upo juu kwa kuchakachua
Afu from there ni kama vile alijitilia mkosi kwenye ndoa yake...Halafu bahati mbaya anatoka nje kweli halafu anagongwa na gari..lol...sijui inakuwaje maana kuna ishu zingine inakuwa kama vile unajichulia kifo chako kabisa....
anachakachua hdi usingiziyou stole my words Smile...
nilitaka kumuuliza leo huchakachui?
Afu from there ni kama vile alijitilia mkosi kwenye ndoa yake...
manake ndugu wa mume walikusanyika kwenye msiba hewa wanajiandaa kwenda karatu kuchukua maiti hewa, ilipofika sa 6 mchana simu yake inapigwa tena, mume kashindwa pokea kwa uchungu, wifi kapokea mara sauti ya kike, eti mie mama flani ,baba flani yupo hapo? Akaulizwa wewe si umekufa? Akasema sijafa nilikuwa namtania husband! Ndugu walichukia mno, ile ndoa ikawa haina tena amani na hivi nnavyoandika wametengana kabisa...
Ukichaa mwingine ni mkosi TF...
Hehehe... Zawadi nilipewa kwa siri... Kuchakachua ni kipaji smile huoni wewe hunacho?honestly sijawai kuona ukichangia thread zaidi ya kuchakachua?
sijui kwa nini haukupewa zaidi
maana upo juu kwa kuchakachua
Huyu alienda extra mile aisee si mchezo...:scared::scared:Afu from there ni kama vile alijitilia mkosi kwenye ndoa yake...
manake ndugu wa mume walikusanyika kwenye msiba hewa wanajiandaa kwenda karatu kuchukua maiti hewa, ilipofika sa 6 mchana simu yake inapigwa tena, mume kashindwa pokea kwa uchungu, wifi kapokea mara sauti ya kike, eti mie mama flani ,baba flani yupo hapo? Akaulizwa wewe si umekufa? Akasema sijafa nilikuwa namtania husband! Ndugu walichukia mno, ile ndoa ikawa haina tena amani na hivi nnavyoandika wametengana kabisa...
Ukichaa mwingine ni mkosi TF...
Hebu acheni kunitoa kwenye mada jamani....you stole my words Smile...
nilitaka kumuuliza leo huchakachui?
hehehee mi nataka tu anifundishe 'kusalimia':attention:anachakachua hdi usingizi
Nafikiri ni zaidi ya insane aisee...SL that was just too much jamani!!! sasa upendo gani huo kumdanganya mwenzio eti umekufa? hakufikiria hata huo mshtuko ungeweza kumletea mumewe tatizo kubwa zaidi...daaah!!! this was insane
Hebu acheni kunitoa kwenye mada jamani....
Nilitaka kukusalimu nikamkumbuka UFUDU, Nimeghairi..
Nafikiri ni zaidi ya insane aisee...
Wifi mie mzima wa afya.....hofu kwako.Sweet wifi mbona hujaweka source? lol... Naamini u mzima na kwamba you are in love.... lol
Umeonae?... Nimecheka hapo 'extra mile'..Huyu alienda extra mile aisee si mchezo...:scared::scared:
kwani uliua mtu?mie naogopa kuandika lol mengine nia aibu:thinking::scared:
Hahaha! Mie vyangu nimemtumia TF kwa PM akimaliza kuedit ataweka hapa....hahhahaa na nakupendea tu hicho SL, yaani nikiona unavyosalimia watu humu huwa nacheka tu mwenyewe...
:focus: mbona hujafunguza bana? what was the craziest thing you did in the name of love...nasubiri
Nafikiri huwa ikitokea umemkumbuka mtu fulani ndio sasa unaanza kukumbuka those crazy things you did...au labda mnaweza kuwa mnakumbushiana ulipomkosea mwenzako what crazy thing you did to get him/her back..Hivi Ze Finest hizi crazy things watu wanafanya kwani wana muda wa ku pre-meditate?
Hahaha! Mie vyangu nimemtumia TF kwa PM akimaliza kuedit ataweka hapa....
Laughter is always the best medicine... unless you have diarrhea
Usije ukawa tu kama Sweetlady maana yeye anaogopa kusema maana akisema anahisi tutahamishwa kwenda jukwaa la wakubwa..lolmie naogopa kuandika lol mengine nia aibu:thinking::scared: