Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,413
- 31,403
Mlenge hiyo taarifa ya Afya ni ya COVID au maradhi yote?
Ukiisoma ni mchanayato tu lakini ukweli unabaki pale pale inahusu COVID.
Tunashukuru na kuwapongeza wametusoma na kufanyia kazi baadhi ya maeneo tuliyozungumzia.
Pamoja na hayo kinachoendelea bado ni kile kile isipokuwa kwa mwendo tofauti kidogo.
1. Ukurasa 1 , unasema serikali inaweza kuudhibiti ugonjwa.
Well, mwaka jana tulisikia tambo hizo, ulipoibuka tena tunajua kilichotokea huko mtaani na kwingineko.
India, wiki iliyopita walishangalia kudhibiti Covid wakaachiwa wajimwage mto Ganjes kwa raha zao
Leo new cases ni 400K (Maambukizi mapya ni laki 4), wanakochomea hakufai, ruksa k katika back yard (uani)
Ukurasa 2.
Kueleza watu ukweli si kuwatia hofu ni kuwaandaa na tahadhari.
India hawakuwaambia watu tatizo wakawaacha waogelee mtoni . Leo wanazika wenyewe kila mtu na ndugu ye.
Ukweli si hofu bali ni ukweli.
Ulaya wanachanja watu na kuchukua kila tahadhari kumaliza COVID. Israel wamefungua nchi na kwingine wanafanya hivyo. Hawaridhiki na ujinga wa kuishi na maradhi, wanapiga vita maradhi.
Vaa barakoa panapolazimika.
Hii ni kauli ya mtaani kweli kweli. Hivi nani anajua wanalazimika wapi ?
Huwezi kutoa kauli ukaiacha open namna hiyo , kutakuwa na tafsiri tofauti na mwisho huta achieve chochote.
Fanya mazoezi
Hili nalo ni la Tanzania tu. Huko kwingine kuna mazoezi kweli kweli na watu wamekufa
Lishe:
Hili ni la kubumba bumba kujaza ukurusa. Kuna nchi ukitaka ' protein, vitamin or minerals' unaipata kama ilivyo.
Huhitaji kubugia maembe kama yule Mama ! Bado watu wamekufa sana, nani kasema ni dawa ya Covid?
Hili laTiba za asili sitaliongelea.
Wapo waliojaribu ! mabanda yakajengwa wengine wakatumia wengine wakapelekwa Hospitali
Hili ni la akili ya kila mtu. Kama majani yanatibu hureee! na iwe hivyo.
Unaweza kuona hali ilivyo!
Ndiyo maana tunasema chanjo ije atakaye apate asiyetaka aendelee kula matunda, kujifukiza, maombi sala n.k.
Hiyo taarifa ukiisoma ilipaswa kuwa kurasa 1, imejazwa mavitu na uganga wa kienyeji, at this day and age!!!
Kokoro limesomba kila kitu ziwani ! Wapambe mtaelewa lini?
Ukiisoma ni mchanayato tu lakini ukweli unabaki pale pale inahusu COVID.
Tunashukuru na kuwapongeza wametusoma na kufanyia kazi baadhi ya maeneo tuliyozungumzia.
Pamoja na hayo kinachoendelea bado ni kile kile isipokuwa kwa mwendo tofauti kidogo.
1. Ukurasa 1 , unasema serikali inaweza kuudhibiti ugonjwa.
Well, mwaka jana tulisikia tambo hizo, ulipoibuka tena tunajua kilichotokea huko mtaani na kwingineko.
India, wiki iliyopita walishangalia kudhibiti Covid wakaachiwa wajimwage mto Ganjes kwa raha zao
Leo new cases ni 400K (Maambukizi mapya ni laki 4), wanakochomea hakufai, ruksa k katika back yard (uani)
Ukurasa 2.
Kueleza watu ukweli si kuwatia hofu ni kuwaandaa na tahadhari.
India hawakuwaambia watu tatizo wakawaacha waogelee mtoni . Leo wanazika wenyewe kila mtu na ndugu ye.
Ukweli si hofu bali ni ukweli.
Ulaya wanachanja watu na kuchukua kila tahadhari kumaliza COVID. Israel wamefungua nchi na kwingine wanafanya hivyo. Hawaridhiki na ujinga wa kuishi na maradhi, wanapiga vita maradhi.
Vaa barakoa panapolazimika.
Hii ni kauli ya mtaani kweli kweli. Hivi nani anajua wanalazimika wapi ?
Huwezi kutoa kauli ukaiacha open namna hiyo , kutakuwa na tafsiri tofauti na mwisho huta achieve chochote.
Fanya mazoezi
Hili nalo ni la Tanzania tu. Huko kwingine kuna mazoezi kweli kweli na watu wamekufa
Lishe:
Hili ni la kubumba bumba kujaza ukurusa. Kuna nchi ukitaka ' protein, vitamin or minerals' unaipata kama ilivyo.
Huhitaji kubugia maembe kama yule Mama ! Bado watu wamekufa sana, nani kasema ni dawa ya Covid?
Hili laTiba za asili sitaliongelea.
Wapo waliojaribu ! mabanda yakajengwa wengine wakatumia wengine wakapelekwa Hospitali
Hili ni la akili ya kila mtu. Kama majani yanatibu hureee! na iwe hivyo.
Unaweza kuona hali ilivyo!
Ndiyo maana tunasema chanjo ije atakaye apate asiyetaka aendelee kula matunda, kujifukiza, maombi sala n.k.
Hiyo taarifa ukiisoma ilipaswa kuwa kurasa 1, imejazwa mavitu na uganga wa kienyeji, at this day and age!!!
Kokoro limesomba kila kitu ziwani ! Wapambe mtaelewa lini?