COVID 19 in Tanzania analysis and next steps

COVID 19 in Tanzania analysis and next steps

This is the pandemic

Umestate mawazo haya kama TZ ina first class facilities.

Kenya wameingiza Leo barakoa 500k, vipimo vya kutosha na upcoming days wanaingiza ventilators.

Sisi tuko wapi? Kama tunaelekea kwenye peak ndiyo tuwe hivi tulivyo Leo? Au tumejiandaa kuzika sana?

I Ought steps are here to be followed
Hamia Kenya ...Tanzania wametengeneza PPEs zao
 
Achana na curve, tupe mipango ya serikali yako. Mipango wezeshi kwa kuwa ushaur tulishatoa ni zamu yao kufanya uamuzi.
Kwan hata makanisa yalishauriwa na Leo kitima kakubali
Serikali imechagua kutofanya lockdown ni sehemu ya kulinda uchumi.
Marekani ilifanya lockdown ya kiaina na jana wameanza ku-reopen
 
Jibi moja kwako ni kuwa hakuna nchi itakayoacha kipita kwenye hiyo curve ...hiyo curve ni sehemu ya principle ya mlipuko.hata kipindupindu kilipitia hiyo curve
Ujerumani na South Korea ni mifano mizuri.
 
Mkuu mada kama hii tegemea kuungwa mkono na watu kama mgombea ubunge mtarajiwa 'manjaa.'

Wanaofika kwenye kilele cha curve hawafiki kwa maombi. Ni kwa kazi kubwa, maumivu na kujitoa sadaka.

Jaribu kujifananisha na hawa hawajakwenda kwenye maombi (hata mara moja) kwa ajili ya hii kitu, wako vizuri, hajafa mtu hata mmoja, wamepona wengi zaidi kuliko sisi, wana wagonjwa wachache kuliko sisi na wana kasi ndogo mno ya maambukizi (hata kuliko ya wanaopona).

Sasa wanaenda 45 days za total lockdown:

View attachment 1422159
Wana kasi ndogo ya maambukizi??
Ulifuatilia data za hadi juzi sisi tulikuwa na wangapi na wao walikuwa na wangapi ??
Umelinganisha idadi ya wagonjwa vs population

View attachment 1422160View attachment 1422161View attachment 1422162

Mkuu tafiti zako unafanyia Lumumba?

Ukweli mchungu, hapa tumelikoroga ni lazima tu tubadilike na tuifuate njia sahihi ambayo iko wazi mno.
 
Serikali imechagua kutofanya lockdown ni sehemu ya kulinda uchumi.
Marekani ilifanya lockdown ya kiaina na jana wameanza ku-reopen
Wana-reopen baada ya kukata mnyororo wa maambukizi. Maafa yao yote ya sasa, wanasema ni maambukizi kabla ya lockdown. Wiki 2 zijazo, maambukizi na vifo vitaanza kupungua kwa kiasi kikubwa.
 
Acha kuangalia movie zinakuaribu nchi zetu hizi ni kila mtu anaonyesha Umwamba Dar ya Makonda Wizara ya Ummy huku Ndugulile anatoa Elimu kwa kujiona Dr kule Majaliwa yeye na Tele conference tu wakati Mzee yuko Chato. Wanaoisaidia hii nchi hawapo katika hizo kamati na wana vyeo na mishahara midogo mno
Mkakati iliyopo Tanzania ni madhubuti sana,approach yetu ni strategic na scientific watu wengi na hata nchi za jirani wanategemea wamuone kila siku Rais wetu akitangaza kila hatua inayochukuliwa

Wanasahau kuwa kuna kamati tatu ziko kazini Saa 24 tena ni technical team .Rais amesimama katika nafasi yake kama alama ya umoja wetu,huku akiwa ametoa maelekezo yote ya mapambano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
South Korea
Wanasema ukitaka usipitie curve unayoisema kuna njia mbili. Moja unazuia maambukizi kwa kuzuia ugonjwa kuingia au partial lockdown ya eneo maambukizi yalikoingia. Pili unafanya full lockdown angalao ya wiki 3. Kwa kufanya hivyo utakata mnyororo wa maambukizi. Katika kipindi cha wiki 3, utapata idadi ya ambao tayari wameambukizwa maana incubation ni kati ya siku 2 hadi 14; average ni siku 5. Hivyo katika kipindi cha wiki 3, wakati ukiwa umezuia maambukizi kwa lockdown, utawatambua wale wote ambao kabla ya lockdown walikuwa wameambukizwa. Baada ya wiki 3, utaanza kupata maambukizi machache sana ambayo, ina maana, yametokea wakati wa lockdown.

Sisi hayo yote mawili hatujafanya, tutaukata vipi mnyororo wa maambukizi?
 
Yaan jana nimeona video eti wanajeshi wanafanya mazoezi ya kukabiriana corona porini wamechimba mahandaki mara wanajirusha na wanashoot risasi nchi yangu jamani huo muda mngepulizia dawa kila kona ya mji ingesaidia kuliko upumbavu mnaofanya


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamia Kenya ...Tanzania wametengeneza PPEs zao

Kwa nini ahamie Kenya? Jibuni hoja kwa hoja. Siyo hoja kwa mipasho. Mipasho waachieni modern taarab.

Angalia takwimu hizi hapa kuhusiana na curve kuwa flat. Wagonjwa wapya wakishakuwa angalau sawa na wanaopona bila kujali idadi ya vifo au maambukizi tayari tatizo linakuwa zimedhibitiwa:

IMG-20200418-WA0000.jpg


Ikumbukwe hakuna nchi hata moja iliyofika huku kwa maombi.
 
Wanasema ukitaka usipitie curve unayoisema kuna njia mbili. Moja unazuia maambukizi kwa kuzuia ugonjwa kuingia au partial lockdown ya eneo maambukizi yalikoingia. Pili unafanya full lockdown angalao ya wiki 3. Kwa kufanya hivyo utakata mnyororo wa maambukizi. Katika kipindi cha wiki 3, utapata idadi ya ambao tayari wameambukizwa maana incubation ni kati ya siku 2 hadi 14; average ni siku 5. Hivyo katika kipindi cha wiki 3, wakati ukiwa umezuia maambukizi kwa lockdown, utawatambua wale wote ambao kabla ya lockdown walikuwa wameambukizwa. Baada ya wiki 3, utaanza kupata maambukizi machache sana ambayo, ina maana, yametokea wakati wa lockdown.

Sisi hayo yote mawili hatujafanya, tutaukata vipi mnyororo wa maambukizi?

Umeongea kitaalamu sana, kudos mkuu. Mimi nina maswali machache kwa wataalamu wetu.

QN1. Nchi za wenzetu wanafanya social distancing kuflatten curve, na lengo ni kutoruhusu health care system kuelemewa. Katika huo muda wa lockdown wanajiequip ili kuwa resources za kukabiliana na ugonjwa.

Sasa swali langu sisi tunafanya lockdown ili iweje? Tunajiandaa na ongezeko la wagonjwa kwa kuandaa hizo resources au tunafuata mambo ya Ulaya?

QN2: wenzetu hizi lockdown wanazoweka( length ya lockdown) ni data driven.

Swali, hizi lockdown tunazoweka zinatokana na data kweli ?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana-reopen baada ya kukata mnyororo wa maambukizi. Maafa yao yote ya sasa, wanasema ni maambukizi kabla ya lockdown. Wiki 2 zijazo, maambukizi na vifo vitaanza kupungua kwa kiasi kikubwa.
Swali Muhimu Cases za Tanzania zina link na zile za imported??
Wanasema ukitaka usipitie curve unayoisema kuna njia mbili. Moja unazuia maambukizi kwa kuzuia ugonjwa kuingia au partial lockdown ya eneo maambukizi yalikoingia. Pili unafanya full lockdown angalao ya wiki 3. Kwa kufanya hivyo utakata mnyororo wa maambukizi. Katika kipindi cha wiki 3, utapata idadi ya ambao tayari wameambukizwa maana incubation ni kati ya siku 2 hadi 14; average ni siku 5. Hivyo katika kipindi cha wiki 3, wakati ukiwa umezuia maambukizi kwa lockdown, utawatambua wale wote ambao kabla ya lockdown walikuwa wameambukizwa. Baada ya wiki 3, utaanza kupata maambukizi machache sana ambayo, ina maana, yametokea wakati wa lockdown.

Sisi hayo yote mawili hatujafanya, tutaukata vipi mnyororo wa maambukizi?
Ufuatiliaji wa new cases na waliokuwa karibu naye ni key...Lockdown for a purpose.
Elimu ya umma imeshafanya watu wawahi kwenye facilities za kiafya pindi wakiwa na dalili no need for lockdown ili upate wagonjwa.
partial lockdown in Dar naweza kuikubali for 1 week au 10days na hii ni kwa ajii ya kutafuta waliokutana na Wagonjwa.
Mnyororo wa maambukizi unakatwa kwa kuwapata kwa haraka wahisiwa wa ugonjwa kuwatenga na kuwapima.kuzuia importation ya case mpya.
Jamii kuzingatia kujikinga.
 
Unataka kila kitu utangaziwe vimeagizwa vipangapi?
Umeambiwa kuna upungufu wa vipimo?
Kuhusu Ventilators husikia habari kuwa Tz itaanza kutengeneza huko Arusha?
Itaanza kutengeneza ventilators lini? na corona itakuwa inasubiri zitengenezwe?
 
Wasiojulikana wapo karantini
Huu wakati wale wasiounga mkono juhudi wawe makini, unaweza ukashughulikiwa wakakujumlisha kwenye idadi ya wahanga wa corona 😳

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
Back
Top Bottom