Covid-19: Coronavirus hivi sasa! Ramani, Mataifa, Washukiwa na Vifo

isajorsergio

Platinum Member
Apr 22, 2018
4,125
6,250
Hadi hivi sasa Tanzania na Afrika Mashariki hali ni shwari. Kabla ya kupitia thread hii osha mikono kwa kimiminika chenye uwezo wa kupambana na maambukizi, maji safi na sabuni. Hali ni mbaya duniani kote maambukizi yanazidi kuongezeka pamoja na vifo vikiripotiwa.

Tanzania na Sehemu ya maziwa makuu bado ni sehemu safi.

COVID19-TZ.png

Tanzania

Dodoma.png

Dodoma

COVID19-DAR.png

Dar es Salaam

COVID19-CHATO.png

Chato-Geita

COVID19-SANZIBAR.png

Sanzibar

COVID19-LAKE VICTORIA.png

Wetern Lake Border

COVID19-NYANDA ZA JUU KUSINI.png

Upper Highlands

COVID19-UPPER NORTH.png

Northern - Tourists Attraction

COVID19-EA.png

Ost Afrika / Great Lakes

Kufikia sasa hali ni shwari fanyeni kazi! kabisa, Kikubwa zingatia hatua stahiki na salama kujikinga na janga hili.
-

Hali sehemu nyingine duniani ni mbaya sana, nionavyo hali ikiendelea hivi tunaweza kufikia hatua tukapoteza/potea watu billion 1 maana groeth ni kubwa.

COVID19-MAGHREB.png

Northern Sahara - Arab Maghreb

COVID19-UK DE NL.png

English Channel - UK, DE, NL BL & IR

COVID19-EUROPE.png

Europe

Ulaya hali inazidi kuwa mbaya na hatua za tahadhari zimekwisha anza kuchukuliwa. Mikusanyiko ya watu inazidi kupigwa marufuku, matamasha na concerts/festivals mbambali zimekuwa pending.

COVID19-FAR EAST.png

Far East - Sub Continent/India

Uchina, Korea, Japan na kanda yote hiyo hali ni mbaya sana aisee, tuwaombee!

COVID19-MIDDLE EAST.png

Middle East

Mashariki ya kati ni sehemu ya kutazama kwa makini hivi sasa

COVID19-US.png

US - Caribbean

Marekani hali ni mbaya sana

COVID19-GLOBAL.png

Worldwide

Kama unavyoona Afrika ni sehemu 10 tu zenye washukiwa au vifo huku Marekani, EU, MENA na China hali ni ya kutisha.

COVID19-COMFIRMED.png

Vifo vilivyothibitishwa! Hadi muda huu
 
COVID19-REC-CONF.png

Maambukizi mapya na Waliorudi katika hali zao za kawaida

COVID19-GROWTH.png

Ukuaji ndani ya Uchina na Dunia kwa ujumla
 
Haji manara anarudi leo kutoka Spain; wanchunguze asijekuwa karudi na korona; ikiwezekana wamweke karantini kwa wiki mbili! Tusifanye mzaha na korona!
 
Haji manara anarudi leo kutoka Spain; wanchunguze asijekuwa karudi na korona; ikiwezekana wamweke karantini kwa wiki mbili! Tusifanye mzaha na korona!
Nasikia alisema anarudi kwa mguu (kutembea) hivyo kama ameanza safari leo bado ana siku nyingi mpaka afike bongo.
 
Haji manara anarudi leo kutoka Spain; wanchunguze asijekuwa karudi na korona; ikiwezekana wamweke karantini kwa wiki mbili! Tusifanye mzaha na korona!
Weka walinzi mipakani asipite, alipotoka hali Ni mbaya kuanzia Cataluña - Barcelona, Malaga, Seville, Valencia, Cancio na Veal.
 
Mimi ninataka kuuliza tangu cvn 19 itokee kuna taarifa za black skin yaan mtu mweus ameishapata maambukizi au ameishareportiwa kufariki? Maana licha ya kua Afrika wapo walio ugua na misiri leo kafa aliyekua anaumwa ila hakua mwafrika hata kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Cha kushukuru Mungu hakuna ngozi nyeusi aliyekufa hadi sasa, labda kwa taarifa mpya
 
Back
Top Bottom