isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,125
- 6,250
Hadi hivi sasa Tanzania na Afrika Mashariki hali ni shwari. Kabla ya kupitia thread hii osha mikono kwa kimiminika chenye uwezo wa kupambana na maambukizi, maji safi na sabuni. Hali ni mbaya duniani kote maambukizi yanazidi kuongezeka pamoja na vifo vikiripotiwa.
Tanzania na Sehemu ya maziwa makuu bado ni sehemu safi.
Tanzania
Dodoma
Dar es Salaam
Chato-Geita
Sanzibar
Wetern Lake Border
Upper Highlands
Northern - Tourists Attraction
Ost Afrika / Great Lakes
Kufikia sasa hali ni shwari fanyeni kazi! kabisa, Kikubwa zingatia hatua stahiki na salama kujikinga na janga hili.
-
Hali sehemu nyingine duniani ni mbaya sana, nionavyo hali ikiendelea hivi tunaweza kufikia hatua tukapoteza/potea watu billion 1 maana groeth ni kubwa.
Northern Sahara - Arab Maghreb
English Channel - UK, DE, NL BL & IR
Europe
Ulaya hali inazidi kuwa mbaya na hatua za tahadhari zimekwisha anza kuchukuliwa. Mikusanyiko ya watu inazidi kupigwa marufuku, matamasha na concerts/festivals mbambali zimekuwa pending.
Far East - Sub Continent/India
Uchina, Korea, Japan na kanda yote hiyo hali ni mbaya sana aisee, tuwaombee!
Middle East
Mashariki ya kati ni sehemu ya kutazama kwa makini hivi sasa
US - Caribbean
Marekani hali ni mbaya sana
Worldwide
Kama unavyoona Afrika ni sehemu 10 tu zenye washukiwa au vifo huku Marekani, EU, MENA na China hali ni ya kutisha.
Vifo vilivyothibitishwa! Hadi muda huu
Tanzania na Sehemu ya maziwa makuu bado ni sehemu safi.
Tanzania
Dodoma
Dar es Salaam
Chato-Geita
Sanzibar
Wetern Lake Border
Upper Highlands
Northern - Tourists Attraction
Ost Afrika / Great Lakes
Kufikia sasa hali ni shwari fanyeni kazi! kabisa, Kikubwa zingatia hatua stahiki na salama kujikinga na janga hili.
-
Hali sehemu nyingine duniani ni mbaya sana, nionavyo hali ikiendelea hivi tunaweza kufikia hatua tukapoteza/potea watu billion 1 maana groeth ni kubwa.
Northern Sahara - Arab Maghreb
English Channel - UK, DE, NL BL & IR
Europe
Ulaya hali inazidi kuwa mbaya na hatua za tahadhari zimekwisha anza kuchukuliwa. Mikusanyiko ya watu inazidi kupigwa marufuku, matamasha na concerts/festivals mbambali zimekuwa pending.
Far East - Sub Continent/India
Uchina, Korea, Japan na kanda yote hiyo hali ni mbaya sana aisee, tuwaombee!
Middle East
Mashariki ya kati ni sehemu ya kutazama kwa makini hivi sasa
US - Caribbean
Marekani hali ni mbaya sana
Worldwide
Kama unavyoona Afrika ni sehemu 10 tu zenye washukiwa au vifo huku Marekani, EU, MENA na China hali ni ya kutisha.
Vifo vilivyothibitishwa! Hadi muda huu