Nyavinene
Senior Member
- Jul 28, 2020
- 164
- 175
- Thread starter
- #21
Jamani nilikuwa busy kutafuta chapa huku kenya saiv ndo nimetulia Sasa. Ila twende mbele turudi nyuma ualimu Ni kazi ya kimasikini sana.
Sema dogo pindi anasoma nilikuwaga mbali naye but saiv nipo tz nikataka nimfanyie michongo huko mwanza ila nimeona Bora nimpe mtaji.
Ualimu c kazi
Sema dogo pindi anasoma nilikuwaga mbali naye but saiv nipo tz nikataka nimfanyie michongo huko mwanza ila nimeona Bora nimpe mtaji.
Ualimu c kazi