Course ya EDUCATION ni ya kijinga sana wakati huu

Course ya EDUCATION ni ya kijinga sana wakati huu

Jamani nilikuwa busy kutafuta chapa huku kenya saiv ndo nimetulia Sasa. Ila twende mbele turudi nyuma ualimu Ni kazi ya kimasikini sana.

Sema dogo pindi anasoma nilikuwaga mbali naye but saiv nipo tz nikataka nimfanyie michongo huko mwanza ila nimeona Bora nimpe mtaji.

Ualimu c kazi
 
Walimu tunakula bata tangu pre-, during- and post-Corona.
Hamna kazi yenye maana kama Ualimu
Sijuti kuwa mwalimu naona fursa tu zinaongezeka
 
Mwalimu soma kule.........................."13000". Hiyo inasomeka. Kwa ujumla ni vigumu kutabiri ajira zetu hapa TZ na ndio maana tunasema soma ile kitu roho inapenda. Hata ukichubua bench unachubua na ile kitu roho inapenda na hakuna aliyo kushinikiza.
 
Mwalimu soma kule.........................."13000". Hiyo inasomeka. Kwa ujumla ni vigumu kutabiri ajira zetu hapa TZ na ndio maana tunasema soma ile kitu roho inapenda. Hata ukichubua bench unachubua na ile kitu roho inapenda na hakuna aliyo kushinikiza.
Hayo n mineno tyu
 
Hizo ni juhudi za serikali ya awamu ya tano,kongole kwa JPM ha ha ha ha.
 
Jamani nilikuwa busy kutafuta chapa huku kenya saiv ndo nimetulia Sasa. Ila twende mbele turudi nyuma ualimu Ni kazi ya kimasikini sana.

Sema dogo pindi anasoma nilikuwaga mbali naye but saiv nipo tz nikataka nimfanyie michongo huko mwanza ila nimeona Bora nimpe mtaji.

Ualimu c kazi
"Teaching is very Noble professional". Chief Nanga told Odili[emoji125][emoji125][emoji125]
 
"Teaching is very Noble professional". Chief Nanga told Odili[emoji125][emoji125][emoji125]
Mkuu umenikumbusha mbali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]."if someone want to make you a minister,run away" Chief Nanga told Odili Samalu
 
Hapo kwenye kupokea mishahara minono hapo napinga kwa nguvu zote! Hayo MATAGA hulipwa posho tu ya siku ya Tsh. 7000! Hali ni ngumu sana kwao.
Wengi wao mfano Bia yetu, Elitwege, Magonjwa Mtambuka, nk. Wamekata tamaa kutokana na hicho kiwango cha posho kuwa kidogo! Anayejitutumua mpaka sasa ni Kawe Alumni na Mataga wenzake wachache tu.
Umemsahau @Yehova
 
Habari wadau!

Katika kusoma au kusomesha usije kuruhusu au kusomesha mwanao course ya ualimu. Hii kozi ni ya watu ambao hawajui kesho yao. Mimi Kuna mdogo wangu kamaliza chuo mwaka huu. Nimeamua nimtafutie mchongo but kwa vile akosomea ualimu kila akienda sehemu hakuna mchongo unaoendana na taaluma yake! Yani mpaka nachanganyikiwa

Saivi natamani walau nimpeleke vyeta make mambo c mambo tena
dah na kweli kabisa kama mdogo wako ana ''low thinking capacity kama yako'' its true awezi kuwa mwalimu perhaps your explanation define your DNA well
 
Habari wadau!

Katika kusoma au kusomesha usije kuruhusu au kusomesha mwanao course ya ualimu. Hii kozi ni ya watu ambao hawajui kesho yao. Mimi Kuna mdogo wangu kamaliza chuo mwaka huu. Nimeamua nimtafutie mchongo but kwa vile akosomea ualimu kila akienda sehemu hakuna mchongo unaoendana na taaluma yake! Yani mpaka nachanganyikiwa

Saivi natamani walau nimpeleke vyeta make mambo c mambo tena
Mpeleke tu vyeta mkuu hakuna jinsi
 
Habari wadau!

Katika kusoma au kusomesha usije kuruhusu au kusomesha mwanao course ya ualimu. Hii kozi ni ya watu ambao hawajui kesho yao. Mimi Kuna mdogo wangu kamaliza chuo mwaka huu. Nimeamua nimtafutie mchongo but kwa vile akosomea ualimu kila akienda sehemu hakuna mchongo unaoendana na taaluma yake! Yani mpaka nachanganyikiwa

Saivi natamani walau nimpeleke vyeta make mambo c mambo tena
Usilaumu Course.....

Bali jilaumu wewe na huyo aliesoma hiyo kozi......

Kwann mpaka uajiriwe...?!

Upuuzi mtupu
 
dah na kweli kabisa kama mdogo wako ana ''low thinking capacity kama yako'' its true awezi kuwa mwalimu perhaps your explanation define your DNA well
Kwa mtazamo wako unaona Nina low thinking capacity et, wewe c ulikuja na mayai ya bundi nikakutoa nduki I mean sijasoma lkn wewe mwenye higher thinking capacity ulikuja kujikomba kwangu[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Habari wadau!

Katika kusoma au kusomesha usije kuruhusu au kusomesha mwanao course ya ualimu. Hii kozi ni ya watu ambao hawajui kesho yao. Mimi Kuna mdogo wangu kamaliza chuo mwaka huu. Nimeamua nimtafutie mchongo but kwa vile akosomea ualimu kila akienda sehemu hakuna mchongo unaoendana na taaluma yake! Yani mpaka nachanganyikiwa

Saivi natamani walau nimpeleke vyeta make mambo c mambo tena
Kila kozi inachangamoto zake bro muhim ni kutafta solution sio kulalamika
 
Back
Top Bottom