Nyavinene
Senior Member
- Jul 28, 2020
- 164
- 174
Habari wadau!
Katika kusoma au kusomesha usije kuruhusu au kusomesha mwanao course ya ualimu. Hii kozi ni ya watu ambao hawajui kesho yao. Mimi Kuna mdogo wangu kamaliza chuo mwaka huu. Nimeamua nimtafutie mchongo but kwa vile akosomea ualimu kila akienda sehemu hakuna mchongo unaoendana na taaluma yake! Yani mpaka nachanganyikiwa
Saivi natamani walau nimpeleke vyeta make mambo c mambo tena
Katika kusoma au kusomesha usije kuruhusu au kusomesha mwanao course ya ualimu. Hii kozi ni ya watu ambao hawajui kesho yao. Mimi Kuna mdogo wangu kamaliza chuo mwaka huu. Nimeamua nimtafutie mchongo but kwa vile akosomea ualimu kila akienda sehemu hakuna mchongo unaoendana na taaluma yake! Yani mpaka nachanganyikiwa
Saivi natamani walau nimpeleke vyeta make mambo c mambo tena
