palesh pizoo
Senior Member
- Apr 14, 2018
- 131
- 223
Mdogo wangu amemaliza kidato cha nne na kupata DvsnIII 25
CIVICS - 'C'
HISTORY - 'C'
GEOGRAPHY - 'C' KISWAHILI- 'C'
ENGLISH - 'D'
BIOLOGY - 'D'
B/MATH - 'F' tukasubiria labda anaweza kupata selection ya Advance lakin hajachaguliwa, baada ya kushindikana hapo tukaona bas sio vibaya ikiwa ataenda chuo akaanze certificate lakin mjadala ukawa ni Course ipi akiisoma itamsaidia ikiwa akikosa ajira maana soko la ajira sasa hivi ndo kama hivi tunavyoona. Msaada toka kwenu
CIVICS - 'C'
HISTORY - 'C'
GEOGRAPHY - 'C' KISWAHILI- 'C'
ENGLISH - 'D'
BIOLOGY - 'D'
B/MATH - 'F' tukasubiria labda anaweza kupata selection ya Advance lakin hajachaguliwa, baada ya kushindikana hapo tukaona bas sio vibaya ikiwa ataenda chuo akaanze certificate lakin mjadala ukawa ni Course ipi akiisoma itamsaidia ikiwa akikosa ajira maana soko la ajira sasa hivi ndo kama hivi tunavyoona. Msaada toka kwenu