bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,880
Koo linacheza cheza ukisema hivyo! Ila mbona leo mnatuwahisha baa? Hapa kuna ajenda ya siri nini?![]()
something won't happen unless u guys leave.......fact
Koo linacheza cheza ukisema hivyo! Ila mbona leo mnatuwahisha baa? Hapa kuna ajenda ya siri nini?![]()
I think they have left now...let something happen freely dear!
Currently Active Users Viewing This Thread: 33 (11 members and 22 guests) Bigirita, Askofu, drphone, Firdous, Fisherscom, Kimey,Masaki, Muadilifu, TzPride, Who Cares?
haya sasa! tuone huo mchezo mliokuwa mnataka kuanza itakuwaje,
kama the underlined bado wapo.......nothing will happen...
I am not here ila tu sija sign out!
Worry not tumeacha computer On!kama the underlined bado wapo.......nothing will happen...
kwa mtazamo wangu ni kama ifuatavyo:
pakajimmy + WOS (familia itakuwa na adabu)
bht + balantanda (hilo halina mjadala)
pearl + drphone (imetulia)
MMK + FL1 (hawa ndugu watawaonea sana)
kigogo + birigita (mmhh)
Lilyflower + rayB (watacope)
Bado nitaendelea.......
Nyie fanyeni utani utani na haya mambo, watatafutana watu humu! kwa wenye ndoa mi simo!
Annina wewe couple wako ni nani?Interesting...
Annina
Annina wewe couple wako ni nani?
hahahahahahahahahhhahahah umenikumbusha ndoa za pamoja ibadani mwetu ni nzuri sana lakini zina challenge yake kama mtaani ni mtanuaji maana perception yake ni kipato kidogo kitu ambacho sio kweli lakiniMkishakamilisha Ma-kapos naomba nijulishwe nifungishe ndoa za pamoja.... JF Kapos, pliz!!!
Lakini na ikumbukwe kwamba Askofu nae anaeza akaoa au asioe kufuatana na kwamba ni wa madhehebu gani...sasa tuambie weye ni askofu wa naniliu gani, ili kama vipi tukutafutie kapo...huh!😀Mkishakamilisha Ma-kapos naomba nijulishwe nifungishe ndoa za pamoja.... JF Kapos, pliz!!!
Asante mwana unajua thread jana ilikamata sana nilifuatilia mpaka nikalala kwenye keyboard.......ngoja nirudi 1st pagerudi kwenye ukurasa wa kwanza utamkuta kwenye list