Couples za JF ni hizi...!

Couples za JF ni hizi...!

Lakini na ikumbukwe kwamba Askofu nae anaeza akaoa au asioe kufuatana na kwamba ni wa madhehebu gani...sasa tuambie weye ni askofu wa naniliu gani, ili kama vipi tukutafutie kapo...huh!😀
PJ, huyu Askofu wa JF ni kutoka lile dhehebu wanalooa, i think so
 
hahahahahahahahahhhahahah umenikumbusha ndoa za pamoja ibadani mwetu ni nzuri sana lakini zina challenge yake kama mtaani ni mtanuaji maana perception yake ni kipato kidogo kitu ambacho sio kweli lakini

Ndio uzuri, wana JF wanakunywa soda na keki kila mtu anatakiwa kila la kheri katika maisha ya ndoa. Ndoa za hivi zinadumu sana, trust me
 
bado unawinda tu ICU.......???
Ungekuwa SHE mi ningekugaia wangu mmoja...................

icon10.gif
icon10.gif
icon10.gif
jana ulikunywa nn? si n'chezo
 
Lakini na ikumbukwe kwamba Askofu nae anaeza akaoa au asioe kufuatana na kwamba ni wa madhehebu gani...sasa tuambie weye ni askofu wa naniliu gani, ili kama vipi tukutafutie kapo...huh!😀

PJ, mimi ni mtumishi wa Mungu, devoted kwa waumini wote... mojawapo likiwa hili la kufungisha ndoa za pamoja... litakuwa jambo la busara sana, na-propose jumatatu ya pasaka, nifungishe hizi ndoa.... nipatieni list... pliz
 
CK inaelekea uliniona nikiyagida weweee eeh!!!

No,nikisema nilikuona X-pin sasa hivi atakuja kudai solid evidence.Ingawa siku zote uwa ni mchangamfu lakini leo umekuwa umchangamfu zaidi mfano wa nyani aliyerambishwa ukwaju.
 
Huko nyuma hukuwa hivyo jiangalie.

hahaaaaa hujatulia wewe
sasa kuna ubaya kugawa wachumba nlopewa jana maana mie nin mume wangu B, bado mmenijazia wengine mie sihitaji.

kuna ubaya hapo?? dini yangu inaruhusu mume mmoja mke mmoja.......
 
No,nikisema nilikuona X-pin sasa hivi atakuja kudai solid evidence.Ingawa siku zote uwa ni mchangamfu lakini leo umekuwa umchangamfu zaidi mfano wa nyani aliyerambishwa ukwaju.

nyie watu mnanitafuta vijineno

CK mimi nina mume tayari jana tena nikaongezewa 3 sasa huu si ufisadi wakati wengine hawana hata mmoja

hapo mi nimekosea wapi jamani??????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom