Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 16,042
- 7,474
Hapa sasa ze alcohol will be not in ze brain, but in the blood.Si unaona? Nilifikiri niko peke yangu.
Twende tuwahi kaunta mpiganaji. Huchelewi kusema leo ni Pasaka!
Nimecheka sana.
Hapa sasa ze alcohol will be not in ze brain, but in the blood.Si unaona? Nilifikiri niko peke yangu.
Twende tuwahi kaunta mpiganaji. Huchelewi kusema leo ni Pasaka!
Unaona alcohol sasa!!!
Si unaona? Nilifikiri niko peke yangu.
Twende tuwahi kaunta mpiganaji. Huchelewi kusema leo ni Pasaka!
Hehehe! Hiyo yote ni sawa na bei ya kakreti kamoja ka kanywaji ketu! Mamushka hana gharama kabisa!Azamu hebu fanya ze needful pale kwa yule binti!! na upeleke mwenyewe, usitume mtu
Peleka lory halafu leta ankara hapa.
Azamu hebu fanya ze needful pale kwa yule binti!! na upeleke mwenyewe, usitume mtu
Peleka lory halafu leta ankara hapa.
bht wewe ni geneous!!![]()
Unanidai ice cream.........!!!
Hehehe! Hiyo yote ni sawa na bei ya kakreti kamoja ka kanywaji ketu! Mamushka hana gharama kabisa!
hahahhaa! mi niliingia ofisini juzi kati, mara namuona mtu ana majivu usoni, ndo nikakumbuka Duh!yaani wee bana nikajiuliz ambona nikaja kazini n i was not supposed to be here, kumbe mwenzangu una yako kwenye ubongo.......
na kweli sasa hivi atasema jpili ijayo ni majilio
Dah! Kiongozi umenistua mstima!Kongoro Rukhsa, ila mimi mwambie aniletee supu ya mkia......!!!
Tatizo ni kwamba mambo ya warm chocolate hayapo Chawote Bar wala Migombani.Hehehe! Hiyo yote ni sawa na bei ya kakreti kamoja ka kanywaji ketu! Mamushka hana gharama kabisa!
Naomba nisiamini shetani anachonitafsiria! Shindwa Shetani!hahaaa gharama kwenye mvinyo sina......ila kwingineko papushka mmmh!!!
Dah! Kiongozi umenistua mstima!
Am out! Hey Elizaaaz! Ile glasi yangu iko wapi mbona unanipa hii? Afu mwambie wa jikoni aandae mkia nusu. Kijana mwenye kiu ya siku tatu anakuja. LOLZ!
Tufurahie jama tufurahie mkia eeeeeeh!
Tufurahie jama tufurahe mkia eeeeh!
shosti craving for makande hahaaaa!!! utayatoa wapi sasa??? hahaaaaa lol pole!!!
Leo uje kwetu basi, Bala alikuwa anaumwa hata hujaja kumwona, but he is much better now!!!
@Masaki the responce you have been longing for..........
Tatizo ni kwamba mambo ya warm chocolate hayapo Chawote Bar wala Migombani.
Inabidi uende kunywa bia za Southern sun na kwingineko, na isiwe Happy hour!
Huko hakuna supu ya Paya, Ngumi, Kongoro, Special, Ulimi wala Mkia. labda ule fish fingers na supu ya maboga.
una maanisha huwa apewagi asubuhi? unamfanhamu kiivo.....au mm tu nasoma sana katikati ya mistarishosti umesahau ile msemo unasema penye nia pana njia?..Lazima kieleweke aisee nina hamu na makande kama nina mimba changa vile hadi mate.....
hahaah shosti my boss made my day today he is a young millionare alafu kaingia kazini huku anaimba ule wimbo wa lady gaga..."pokwe face"....wierd"..he is a serious man leo anafuraha sana sijui kapewa mchezo asubuhi hii?????????
shosti umesahau ile msemo unasema penye nia pana njia?..Lazima kieleweke aisee nina hamu na makande kama nina mimba changa vile hadi mate.....
hahaah shosti my boss made my day today he is a young millionare alafu kaingia kazini huku anaimba ule wimbo wa lady gaga..."pokwe face"....wierd"..he is a serious man leo anafuraha sana sijui kapewa mchezo asubuhi hii?????????
Tutafanya utaratibu siku za usoni, si ndio mama ee!you are very smart, unaona u-expensive unapoingia sasa....
yaani mie niende chawaote niishie kunywa coke tuuuuuuu, akhaaaa!!!!
B kwenye blue umenigusa kwa kweli!!!
Naomba nisiamini shetani anachonitafsiria! Shindwa Shetani!
hahaaaa wewe na hayo makande mi sijui hiyo njia ya kuyapata utaiona wapi
eeeeh shost a young millionare boss singing lady gaga'z song made ur day??
ngoja kwanza.......naenda kukuletea mahindi ya makande sasa hivi!!!!
papushka usivushe mawazo mbali bana aaah!!! soma post ya B on that responce
afu hebu ondokeni kwanza naona mna kiu nsije nikawanywesha siki bureeee!!!
Tutafanya utaratibu siku za usoni, si ndio mama ee!
Unaona ninavyojua kusoma alama za vidole vitumiwavyo ku-type na kupost?
mi naleta maharage....soya au yale yanayofanana na karanga?