Couples za JF ni hizi...!

amoeba tumpe chloroquin.....kama ni he basi tunampatia queenkami
 

Tungekupa Masanilo, lakini je unajua anachokipenda mkiwa ndani ya kuta nne? Maana lazima tukupe angalizo mapema, usije ukatulaumu!
 
Kimey mpenzi uko wapi twende zetu tukapumzike?????? wewe si semenya mmh
ha ha ha hii ndo wanaita unaokota dodo chini ya mbuyu!! nipo mwaya haya twende tukapumzike!! Lol!
 
namtafuta Krolokwini ,mwenye habari zake ani PM tafadhari .
dawa ya Maralia popote ulipo ...jitokeze
zawadi nono itatolewa
 
Kwa hiyo so far couples ambazo zimependekezwa na wenyewe wameridhika ni kama ifuatavyo;

1. FL1 na Mwanakijiji
2. PakaJimmy na Perl
3. JS na Kimey
4.Lilyflower na Boss
5.
6.
7.

Endeleeni kujaza

Jamani mwenzio naogopa.
 
wengine lunch aipiti ni breakfast na dinner tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…