Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 8,296
- 3,648
ww amka. wacha kujijaza ujinga!SGR lengo lake ni kubeba mizigo ya nchi jirani na kukuza uchumi, inapaswa kufika haraka Mwanza na Kigoma, japo inasuasua sana sijui tatizo nini, kubeba abiria ni Bonus tu,ikifika mwisho wake TZ itakuwa level ingine na Ke watatuamkia
mutabakia kufukuza upepo miaka nenda rudi.