Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

☹️
f14b30bc-6a19-4dc2-84fc-21169ecf80c3.jpeg
 
 
cheki hapa 👇
View attachment 3340401
huyu tutamnyoosha kama mchele wa basmati.
Kumbe we una fikra finyu hapo!?
Wanaharakati wenu walikamatwa Kesha na kuwa deported,nani kamnyoosha mwenzake kati ya Tanzania/Mama Samia na ninyi wakenya?
Na vijana wenu wawili waliwekwa rumande siku mbili hadi Jana ndio wametolewa.
Nani kamnyorosha mwenzake!?
😂😂😂😂Unajiskia hata unavyoongea.
Hiyo ni meseji mama anatuma kwenu,hataruhusiwa kenge yeyote kuiingilia sovereignty ya TZ.
 
Kumbe we una fikra finyu hapo!?
Wanaharakati wenu walikamatwa Kesha na kuwa deported,nani kamnyoosha mwenzake kati ya Tanzania/Mama Samia na ninyi wakenya?
Na vijana wenu wawili waliwekwa rumande siku mbili hadi Jana ndio wametolewa.
Nani kamnyorosha mwenzake!?
😂😂😂😂Unajiskia hata unavyoongea.
Hiyo ni meseji mama anatuma kwenu,hataruhusiwa kenge yeyote kuiingilia sovereignty ya TZ.
Mpaka Leo hawajaongea chochote kimyaaaa . Watakuwa wamefinnywa pumbu mpaka basi
 
Back
Top Bottom