Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 33,872
- 32,650
Mbona kamanda lewis kila siku anatuletea picha za nyang'au wamepozi kwenye kabehewa kamoja ka kujifurahisha?😎
Unacheka nn? usichojua kwa nchi za kiafrika unapaswa kuanza miradi pamoja!![]()
Tanzania completes initial designs for 1,000-kilometre Mtwara – Mbamba Bay railway line
The government is now in the process of identifying an investor to develop the railway to Standard Gauge Railway (SGR) specifications, through a Public-Private Partnership (PPP) arrangementwww.thecitizen.co.tz
Hata kidogo😁😎😎hizo picha huwa zinautesa sana moyo wako 😕
ndio nawaambia hapa kila siku ila wanajifanya wametia pamba masikioni....KIama hujapanda SGR ya Kenya ni bora ukafunga mdomo, suala la ktumia dizel hata sisi mbona wameagiza. Kwa upande wa huduma ndani ya mabehewa Kenya wako viwango vya juu
💯%kenya wametuzidi mbali katika uchumi........mm n mtanzania halisi na ukwel ndo uo.........labda Tanzania tuanze kujitafakari upya.
pole sana 😁😁Hata kidogo😁😎😎
Nenda kapozi kwenye behewa na kupiga picha tena😁😁pole sana 😁😁